iqna

IQNA

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
Habari ID: 3480723    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23

IQNA – Usajili umeanza rasmi kwa toleo la nane la mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa wafanyakazi nchini Iran.
Habari ID: 3480515    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza) au  seminari kutoka nchi 10 za Kiislamu.
Habari ID: 3480078    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19

IQNA - Washindi wakuu wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametajwa.
Habari ID: 3479882    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09

IQNA - Qari kijana ambaye anashiriki katika toleo la 47 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema mafanikio yake ya Qur'ani ni baraka kutoka kwa Allah (SWT).
Habari ID: 3479880    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09

Nchini Saudi Arabia
Shirika la Awqaf na Misaada la Iran limewataja wahifadhi wawili kwa ajili ya kuiwakilisha nchi hiyo katika makala ya 44 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479026    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
Habari ID: 3478716    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoendelea Port Said, Misri, limewataja washindi wa duru ya kwanza.
Habari ID: 3478314    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 24 YA Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yalianza Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478165    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya awali ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3478095    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Tehran imeandaa shindano la kuchagua wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3478029    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13

Mashindano ya Qur'ani
JAKARTA (IQNA) - Kituo cha Qur'ani chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) nchini Iraq kimeandaa mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Indonesia, na ku wahifadhi 200 kutoka kote nchini.
Habari ID: 3477802    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476477    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imeandaa mashindano ya mabingwa wa Qur’ani katika kategoria za wanawake na wanaume.
Habari ID: 3474714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu Misri imetangaza washindi wa Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika wiki hii mjini Cairo.
Habari ID: 3474681    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27