iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kasisi wa Kanisa la Koptik nchini Misri amehudhuria sherehe za kufunga mashindano ya kuhifadhi Qur'ani katika jimbo la Beheira nchini Misri.
Habari ID: 3475162    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa Misri wameshinda kategoria zote za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Port Said.
Habari ID: 3474969    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa na kukosoa taarifa ya M misri mmoja aliyetilia shaka tukio la Mi’raj.
Habari ID: 3474950    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/20

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Bandari ya Port Said Misri yamepangwa kuanza Februari 18.
Habari ID: 3474892    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/05

TEHRAN (IQNA)- Kikao cha kumuenzi qarii maarufu wa Misri Marhum Mohammad Siddiq El-Minshawi kimefanyika kwa njia ya intaneti kwa hisani ya Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) na Taasisi ya Iran ya Ahsan ul Hadith.
Habari ID: 3474828    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19

TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiiga mtindo wa marehemu baba yake.
Habari ID: 3474787    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imepanga mashindano ya qiraa ya Qur’ani Tukufu kwa maqarii watakaotumwa nje ya nchi katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3474774    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/06

TEHRAN (IQNA)- Msomi mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Al Azhar amezitaja kuwa zisizo na msingi Fatwa za kupiga marufuku Waislamu kuwatumia Wakristo salamu za Krismasi.
Habari ID: 3474771    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05

TEHRAN (IQNA)- Shekhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amesema chimbuko la dini za mbinguni ni moja na wanadamu wote wana udugu.
Habari ID: 3474770    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05

TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur'ani Sayyid Mustafa Husseini na Sayyid Jasim Mousavi wamesambaza klipu inayonyesha wakiwa wanasoma aya za Sura Ad Dhuha kwa pamoja kwa mtindo wa qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Mohammad Siddiq El Minshawi.
Habari ID: 3474768    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05

TEHRAN (IQNA)- Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Al Azhar wamebainisha wasiwasi wao kuhusu pendekelezo la Bunge la Senate la Misri la kuandikwa 'Tafsiri ya Kisasa' ya Qur'ani.
Habari ID: 3474764    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Roa'a al Sayyed, msichana mwenye umri wa miaka 11 aliye naulemavuu wa macho nchini Misri amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa muda wa miezi 18.
Habari ID: 3474744    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Wasomaji Qur'ani Tukufu Misri imeitisha mkutano hivi karibuni ambapo imeamuliwa kuwa wananchama wote wapya wanapaswa kuwa wamehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3474742    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30

Habari ID: 3474711    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kidini katika Bunge la Misri limeanza kujadili pendekezo la kuandika tafsiri mpya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22

Mufti wa Misri
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Misri amesema Fatwa nyingi ambazo hutolewa na wale wenye misimamo mikali nay a kufurutu ada na ambazo huharibu sura ya Uislamu halisi hutokana na ufahamu mbovu wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474696    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Jimbo la Port Said nchini Misri wametangaza mpango wa kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Port Said mwakani.
Habari ID: 3474685    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu Misri imetangaza washindi wa Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika wiki hii mjini Cairo.
Habari ID: 3474681    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdul Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kipaumbele maalumu kipewe kwa tafsiri na ufahamu wa Qur’ani katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3474676    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15