iqna

IQNA

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mshindi katika kitengo cha 'Familia ya Qur'ani' ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Misri ametangazwa
Habari ID: 3478089    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuandaa Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) wiki ijayo.
Habari ID: 3478084    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Profesa wa jiografia wa Misri ana nakala ndogo sana ya Qur’ani Tukufu (Msahafu) ambayo ni ya miaka 280 iliyopita.
Habari ID: 3478074    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Usomaji Qur'ani Tukufu nchini Misri
IQNA - Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar alijiunga rasmi na Televisheni na Redio ya Misri kama qari mwenye umri mdogo zaidi.
Habari ID: 3478035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Waziri wa Wakfu Misri amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatafanyika nchini humo kwa kushirikisha wasomaji na wahifadhi wa Qur'ani Tukufu kutoka nchi 60.
Habari ID: 3478031    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Shughuli za Qur'ani Tukufu
CAIRO, (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuzindua programu za mfunzo ya Qur'ani Tukufu kwa watoto katika misikiti.
Habari ID: 3478002    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07

Wamisri wakaribisha mpango wa Qur'ani wa Wizara ya Wakfu
TEHRAN (IQNA) - Mpango uliozinduliwa katika misikiti ya Misri kwa ajili ya kurekebisha makosa yanayofanywa na watu wakati wa kusoma Qur'ani Tukufu umepokelewa vyema, maafisa wanasema.
Habari ID: 3477994    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06

Msomaji Maarufu wa Qur;ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477941    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13

Kimbunga cha Al Aqsa
CAIRO (IQNA) – Sheikhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesifu ushujaa na ujasiri wa watu wa Ukanda wa Gaza katika kukabiliana na mashambulizi makali ya Israel.
Habari ID: 3477821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/31

Taazia
CAIRO (IQNA) – Sheikh Abdul Rahim al-Dawidar, qari wa Qur’ani Tukufu na msomaji wa Ibtihal nchini Misri, alifariki akiwa na umri wa miaka 86.
Habari ID: 3477780    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24

Video ya usomaji wa Qurani Tukufu wa Ali Qadourah, mwimbaji maarufu wa zamani wa Misri, usomaji wake wa Qur’ani Tukufu umepokelewa kwa shangwe na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo.
Habari ID: 3477764    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

CAIRO (IQNA) –Chuo Kikuu cha Al Azhar cha nchini MIsri kimewataka Waislamu duniani kote kukabiliana kwa uwezo na nguvu zote na jinai za utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477754    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa nyoyo za wasikilizaji.
Habari ID: 3477657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Harakati za Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji wa Itsa, Jimbo la Faiyum nchini Misri, kuwaenzi wahifadhi 989 wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477613    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Kutetea Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Wizara ya Awqaf ya Misri itakuwa na programu maalum ziitwazo 'Ijumaa ya Qur'ani' kila wiki ili kukabiliana na vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi.
Habari ID: 3477306    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19

Shughuli za Qur'ani
Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua kozi tatu za mtandaoni za Qur'ani kwa wanafunzi kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3477134    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/11

Mapambano
Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitishwa kuwa, wanajeshi watatu utawala huo wameangamizwa wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la risasi kwenye mipaka ya Misri na Palestina inayokalia kwa mabavu ambayo imepachikwa jina bandia la Israel
Habari ID: 3477103    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Matar Tares ni jina la kijiji ambapo familia zote zina kumbukumbu moja ya Quran nzima.
Habari ID: 3477053    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema vikao maalumu vya kusoma Qur'ani Tukufu kwa wanawake vinaendelea kufanyika katika majimbo matatu ya nchi hiyo.Magavana wa Cairo, Sharqia na Alexandria wanaendelea kuandaa matukio ya Qur'ani, kwa mujibu wa tovuti ya Tahya Misr.
Habari ID: 3477040    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24