Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /17
TEHRAN (IQNA) –Ustadh Abulainain Shuaisha alijulikana kama Sheikh ul-Qurra (kiongozi wa wasomaji Qur’ani) wa Misri. Alikuwa msomaji mashuhuri wa Qur’ani na mtu wa mwisho kutoka katika ‘kizazi cha dhahabu’ cha wasomaji Qur’ani wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3476295 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24
Shughuli za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza kuwa vituo 538 vya watoto vimezinduliwa hivi karibuni.
Habari ID: 3476277 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20
Harakati za Qur’ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imeshaandaa vikao vya kufunza Qur'ani Tukufu maalumu kwa watoto katika zaidi ya misikiti 6,000 kote Misri.
Habari ID: 3476257 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16
Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Hajj Hassan Juneidi ni mwanamume wa Misri ambaye, pamoja na mkewe, wameanzisha kituo cha kutoa misaada kwa ajili ya kufundisha Qur’ani kwa watoto wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3476200 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mamia ya watu walihudhuria mazishi ya Sheikh Mohamed Mahmoud al-Qadim, mwalimu na hafidh wa Qur'ani mzee zaidi katika Mkoa wa Gharbia nchini Misri
Habari ID: 3476174 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema inazindua mashindano ya walimu wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476170 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la mazungumzo ya dini mbalimbali lilifanyika nchini Bahrain mapema mwezi huu na lilihudhuriwa na Kiongozi wa Kanisa Katoloki Papa Francis na Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed el-Tayeb.
Habari ID: 3476161 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28
Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Baadhi ya maqarii au wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu walihudhuria sherehe za uzinduzi wa msikiti katika Jimbo la Qalyubia nchini Misri.
Habari ID: 3476151 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/26
Harakati ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kazi ya kutayarisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiebrania inaendelea nchini Misri, huku tafsiri ya Juzuu (sehemu) 20 ikiwa tayari imekamilika.
Habari ID: 3476130 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 10
TEHRAN (IQNA) - Misri imeweza kuibua wasomaji wengi mashuhuri wa Qur’ani ambao wamevuma katika ulimwengu wa Kiislamu. Mmoja wao ni Sheikh Muhammad Abdul Aziz Hassan, qari ambaye aliweza kuingiza mitindo ya zamani na ya kisasa na kuunda mtindo wake wa qiraa ya Qur'ani Tukufu kusoma.
Habari ID: 3476105 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17
Usomaji Qur'ani au Qiraa
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Kamil Yusuf al Bahtimi ni moja kati ya wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Misri.
Habari ID: 3476084 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13
Usomaji Qur'ani (Qiraa)
TEHRAN (IQNA) - Kanda za video zimesambazwa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha usomaji wa aya za Qur'ani Tukufu wa marehemu Sheikh Mustafa Ismail aliyekuwa qarii bingwa wa Qur'ani Tukufu wa Misri
Habari ID: 3476046 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06
Uislamu na Mazingira
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri siku ya Jumamosi ilizindua kitabu kuhusu uhusiano kati ya mazingira na Uislamu.
Habari ID: 3476043 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa mwito wa Umoja wa Kiislamu sambamba na kufanyika mazungumzo baina ya Maulamaa wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa ajili ya kukabiliana na fitina na mapigano ya kikaumu.
Habari ID: 3476037 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05
Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA) – Mshambulizi maarufu Timu ya Taifa ya Soka ya Misri, Mohammed Salah, bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson, na mshindi wa taji la Ballon d'Or la mwanasoka bora duniani Karim Benzema ni miongoni mwa wanamichezo Waislamu wenye ushawishi mkubwa mwaka 2023.
Habari ID: 3476013 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri, Sheikh Mohamed Mukhtar Gomaa amesema Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo limepewa jina la Qari bingwamarehemu Sheikh Mustafa Ismail.
Habari ID: 3476009 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/30
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Shirika la shule za Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limetangaza kuanza kwa mchakato wa usajili kwa wale walio tayari kushiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani ya kituo hicho.
Habari ID: 3475948 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18
Taazia
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Osama Abdel Azim, mwanazuoni wa Kiislamu na Qur'ani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74.
Habari ID: 3475883 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05
Kujifunza Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohamed Ata al-Basyuni ni mwalimu wa Qur'ani mwenye umri wa miaka 85 katika mji mmoja mkoani Gharbia nchini Misri.
Habari ID: 3475839 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21