iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia.
Habari ID: 3473221    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyopo hapa chini ni ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad akisoma Surah Al Qadr ya Qur'ani Tukufu mwaka 1965 katika Msikiti Imam Hussein (AS) mjini Cairo.
Habari ID: 3473212    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdel Fattah el Sisis wa Misri ameonya Jumapili kuhusu uchocheaji vurugu nchini humo huku maandamano dhidi ya serikali yakiripotiwa maeneo kadhaa nchini humo.
Habari ID: 3473206    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27

TEHRAN (IQNA) – Harakati za Qur’ani nchini Misri zimeanza leo Jumamosi kufuatia idhini ya Chuo Kikuu cha Al Azhar.
Habari ID: 3473205    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Wakfu nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa, ameamuru kuazishwe kampeni ya kitaifa ya kutayarisha misikiti kote nchini kwa ajili ya Swala ya Ijumaa wiki hii.
Habari ID: 3473094    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23

TEHRAN (IQNA) – Klipu hii inamuonyesha qarii wa Misri Mahamoud Shahat Anwar akisoma baadhi ya aya za Surat Al-A'la za Qur'ani Tukufu bila kupumua mwaka 2016.
Habari ID: 3473070    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15

TEHRAN (IQNA) Klipu ya zamani na nadra ya Sheikh Abdul Abasit Abdulswamad akisoma Surat Al-Qadr imesambaa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473054    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad al-Toukhi alikuwa qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri.
Habari ID: 3473041    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/06

TEHRAN (IQNA)- Qari maarufu wa Misri, marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad alisafiri katika nchi nyingi duniani kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473033    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA)- Kuna idadi kubwa ya qiraa za qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Mutawalli Abdul Aal aliyeaga dunia mwaka 2015.
Habari ID: 3473013    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29

TEHRAN (IQNA) –Klipu mpya ya video inamuonyesha qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Abolainain Shoaisha akisoma aya za Surah al-Infitar ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473002    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar akiwa anasema aya za Qur'ani mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Habari ID: 3472999    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Misri imetangaza kuwa swala ya Idul Adha nchini humo itaswalia katika msikiti mmoja tu.
Habari ID: 3472994    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/24

TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23

TEHRAN (IQNA) – Mahmud Ali Al Banna alikuwa qarii mashuhuri wa Qur’ani aliyezaliwa katika kijiji cha Shobrabas kaskazini mwa Misri mnamo Disemba 17, 1926.
Habari ID: 3472986    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA) - Bunge la Misri limeidhinisha wanajeshi wa nchi hiyo kutumwa Libya na hivyo kuandaa mazingira ya kuvamiwa kijeshi nchi hiyo jirani.
Habari ID: 3472984    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA)- Marhum Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alizaliwa Septemba 17 1918 na alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.
Habari ID: 3472980    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA) – Qarii wa Qur'ani kutoka Misri, Sheikh Hani al-Hussaini ametoa wito kwa wazazi Waislamu kuwafunza watoto wao kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Tajwid wakiwa bado ni wadogo.
Habari ID: 3472964    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Said alitembelea Iran mwaka 2007 na kusema Qur'ani Tukufu katika mji wa Zanjan.
Habari ID: 3472963    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14