iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kuna idadi kubwa ya qiraa za qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Mutawalli Abdul Aal aliyeaga dunia mwaka 2015.
Habari ID: 3473013    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29

TEHRAN (IQNA) –Klipu mpya ya video inamuonyesha qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Abolainain Shoaisha akisoma aya za Surah al-Infitar ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473002    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar akiwa anasema aya za Qur'ani mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Habari ID: 3472999    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Misri imetangaza kuwa swala ya Idul Adha nchini humo itaswalia katika msikiti mmoja tu.
Habari ID: 3472994    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/24

TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23

TEHRAN (IQNA) – Mahmud Ali Al Banna alikuwa qarii mashuhuri wa Qur’ani aliyezaliwa katika kijiji cha Shobrabas kaskazini mwa Misri mnamo Disemba 17, 1926.
Habari ID: 3472986    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA) - Bunge la Misri limeidhinisha wanajeshi wa nchi hiyo kutumwa Libya na hivyo kuandaa mazingira ya kuvamiwa kijeshi nchi hiyo jirani.
Habari ID: 3472984    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA)- Marhum Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alizaliwa Septemba 17 1918 na alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.
Habari ID: 3472980    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA) – Qarii wa Qur'ani kutoka Misri, Sheikh Hani al-Hussaini ametoa wito kwa wazazi Waislamu kuwafunza watoto wao kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Tajwid wakiwa bado ni wadogo.
Habari ID: 3472964    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Said alitembelea Iran mwaka 2007 na kusema Qur'ani Tukufu katika mji wa Zanjan.
Habari ID: 3472963    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14

TEHRA (IQNA) – Klipu ya video imesmabazwa hivi karibuni ya qiraa ya Surah Al-Infitar ya Qur'ani Tukufu ya marhum Sheikh Abdul-Basit Abdul-Swamad.
Habari ID: 3472958    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/13

TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya qarii maarufu wa Misri marhum Sheikh Sayed Mutawalli Abdul Aal katika mji wa Tabriz, Iran imesambazwa katika mitandao ya intaneti hivi karibuni.
Habari ID: 3472951    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11

TEHRAN (IQNA) – Klipu imesambazwa hivi karibuni yenye qiraa ya Surat Al-Ikhlas ya wasomaji wanne mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri.
Habari ID: 3472948    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10

TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed EL-Tayeb amekutana kwa njia ya intaneti na Askofu Mkuu wa Canterbury wa Kanisa la Anglikana Justin Welby ambapo wamejadili njia za kuimarisha uhusiano wa taasisi hizo mbili na kustawisha mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472944    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09

TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya hivi karibuni ya Qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri Sheikh Ahmad Ahmad Al Nuaina aliposoma aya katika Sura za A-Duha na Al-Inshirah.
Habari ID: 3472937    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/07

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Wakfu nchini Misri Sheikh Mohammad Mokhtar Gomaa ameahidi kuwa serikali inatafakari kuhusu kuruhusu tena swala ya Ijumaa nchini humo ambayo imeendelea kupigwa marufuku hata baada ya misikiti kufunguliwa tena wiki hii.
Habari ID: 3472908    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani nchini Misri, Sheikh Abdul Fattah Taruti amesoma Qur’ani Tukufu akiwa amevaa barakoa.
Habari ID: 3472906    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28

TEHRAN (IQNA) - Misikiti kote Misri inafunguliwa tena kuanzia Juni 27 lakini kwa kuzingatia masharti makali ya kiafya ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472901    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26

TEHRAN (IQNA) – Tarehe 20 imesadifiana na mwaka wa 50 tokea alipoaga dunia Mohamed Siddiq El-Minshawi aliyekuwa na lakabu ya 'qarii wa maqarii' ambaye hadi sasa amesalia kuwa miongoni mwa wasomaji wakubwa wa Qur'ani duniani.
Habari ID: 3472887    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mohammad Badr Hussein alikuwa qarii mashuhuri wa Misri katika zama zake.
Habari ID: 3472869    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/16