TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwa darsa za kuhifadhi Qur'ani ndani ya misikiti kwa kuhudhuria ana kwa ana waalimu na wanafunzi zitaanza tena kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474496 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31
TEHRAN (IQNA)- Msomi wa Kiislamu nchini Misri amesema Uislamu unalipa umuhimu mkubwa suala la kulinda maeneo ya ibada hata yale ambayo si ya Waislamu.
Habari ID: 3474470 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25
TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imetoa wito kwa Waislamu dunaini kote kuandaa sherehe za kukumbuka kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW ambazo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3474415 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12
TEHRAN (IQNA)- Watu 100 waliohifadhi Qur’ani Tukufu nchini Misri katika mji wa Al-ʾIskandariyah (Alexandria) wameenziwa na kutunukiwa zawadi baada ya mashindani makubwa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474398 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
TEHRAN (IQNA)- Binti M misri ameshinda mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani ambayo yameandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini humo.
Habari ID: 3474364 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30
TEHRAN (IQNA)- Abdullah Ammar Mohammad al-Sayyed ni kijana M misri mwenye ulemavu wa macho ambaye alifanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika kipindi cha miezi mitatu tu.
Habari ID: 3474352 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri anatazamiwza kuitembelea Iraq mwezi ujao.
Habari ID: 3474311 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18
TEHRAN (IQNA)- Qarii na hafidh wa Qur’ani Tukufu Misri, Mahmoud Abdul Sattar al Utwa amefariki akiwa na umri wa miaka 26.
Habari ID: 3474299 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/15
TEHRAN (IQNA)- Tafsiri ya kale ya Qur’ani Tukufu inahifadhi katika Jumba la Makumbusho la Nyaraka za Kale la Alexandria nchini Misri.
Habari ID: 3474297 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/15
TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika katika kijiji kimoja kaskazini mwa Misri kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474285 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12
TEHRAN (IQNA)- Wanakijiji Wakristo wanashirikiana na Waislamu katika kukarabati msikiti mmoja wa kale katika mkoa wa Al Minya nchini Misri.
Habari ID: 3474231 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27
TEHRAN (IQNA)- Dada wawili nchini Uingereza wamesilimu baada ya kuvutiwa na unyenyekevu pamoja na maadili mema ya mchezaji soka maarufu wa Misri Mohammad Salah, ambaye ni fowadi wa klabu ya Liverpool katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL).
Habari ID: 3474224 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25
TEHRAN (IQNA) - Mkurugenzi mpya wa Idhaa ya Qur'ani ya Radio ya Misri alisema programu maalum itarushwa na idhaa hiyo siku za usoni ambayo inaangazia qiraa nadra za Qur'ani ambazo ni za wasomaji Wa misri .
Habari ID: 3474222 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani alipotembelea ofisi za tovuti ya Al Balad.
Habari ID: 3474221 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24
TEHRAN (IQNA)- Binti mmoja nchini Misri ambaye sasa ana umri wa miaka 11 aliweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 7.
Habari ID: 3474152 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/02
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Misri yatafanyika mwezi Disemba kama ilivyopangwa, amesema waziri wa wakfu nchini humo Sheikh Mokhtar Gomaa.
Habari ID: 3474151 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/02
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Misri lilisema Jumapili limewaua watu 89 wanaoshukiwa kuwa waasi katika operesheni Kaskazini mwa Sinai, mkoa ambao kundi la kigaidi linalofungamana na kundi la kigaidi la Daesh limekuwa likitekeleza hujuma.
Habari ID: 3474147 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01
TEHRAN (IQNA)- Qarii au msomaji wa Qur’ani Tukufu nchini Misri amefariki dunia akiwa anasoma Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474143 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/31
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qurani Tukufu kwa lugha za Kiswahili na Kiindonesia ni kati ya vitaby vipya ambavyo vimewasilishwa katika Maoneysho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3474093 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Awqaf nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa amekutana na Katibu Mkuu wa Akademia ya Kimataifa ya Fiqhi Sheikh Koutoub Mustafa Sano kujadili njia ya kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3474077 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07