iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Ndege a kivita za Ethiopia zilivuka mpaka na nchi jirani ya Sudan katika kile ambacho Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekitaja kuwa ni taharuki hatari na isiyo na sababu.
Habari ID: 3473555    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14

TEHRAN (IQNA)- Televisheni ya Qur’ani ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) imezindua kipindi kipya cha kurusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya wasomaji maarufu wa Misri.
Habari ID: 3473542    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/10

TEHRAN (IQNA) Hivi karibuni Televisheni ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilirusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Abdul Fattah Taruti wa Misri.
Habari ID: 3473485    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23

TEHRAN (IQNA)- Qiraa ya Qur’ani Tukufu ya qarii wa Misri marhum Sheikh Ahmed Mohammed Amer hivi karibuni imerushwa hewani katika televisheni ya Qur’ani ya Iran.
Habari ID: 3473469    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18

TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni ilirusha hewani qiraa ya qarii wa Misri marhuma Sheikh Khalil Al-Hussary.
Habari ID: 3473459    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Abdul Fattah Taruti alishiriki katika kikao ambacho alisoma aya moja katika Sura al-Furqan ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473431    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

TEHRAN (IQNA)- Familia ya qarii maarufu zaidi wa Qur’ani Tukufu wa Misri, Sheikh Abdul-Basit Abdul-Swamad imeitunuku Radio ya Qur’ani ya Misri kanda za qiraa ya qarii huyo.
Habari ID: 3473384    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22

TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Sanaa za Kiislamu Cairo, Misri ni hifadhi kubwa zaidi ya athari za sanaa za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3473375    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mustafa Ghalwash katika moja ya safari zake nchini Iran alisoma Qur’ani Tukufu mbele ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473369    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya video imeenea katika mitandao ya kijamii ikiwaonyesha ndugu watano wa familia moja wakisema ya za Qur'ani Tukufu za Surah al-Furqan.
Habari ID: 3473291    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/24

TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia.
Habari ID: 3473221    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyopo hapa chini ni ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad akisoma Surah Al Qadr ya Qur'ani Tukufu mwaka 1965 katika Msikiti Imam Hussein (AS) mjini Cairo.
Habari ID: 3473212    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdel Fattah el Sisis wa Misri ameonya Jumapili kuhusu uchocheaji vurugu nchini humo huku maandamano dhidi ya serikali yakiripotiwa maeneo kadhaa nchini humo.
Habari ID: 3473206    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/27

TEHRAN (IQNA) – Harakati za Qur’ani nchini Misri zimeanza leo Jumamosi kufuatia idhini ya Chuo Kikuu cha Al Azhar.
Habari ID: 3473205    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Wakfu nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa, ameamuru kuazishwe kampeni ya kitaifa ya kutayarisha misikiti kote nchini kwa ajili ya Swala ya Ijumaa wiki hii.
Habari ID: 3473094    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23

TEHRAN (IQNA) – Klipu hii inamuonyesha qarii wa Misri Mahamoud Shahat Anwar akisoma baadhi ya aya za Surat Al-A'la za Qur'ani Tukufu bila kupumua mwaka 2016.
Habari ID: 3473070    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15

TEHRAN (IQNA) Klipu ya zamani na nadra ya Sheikh Abdul Abasit Abdulswamad akisoma Surat Al-Qadr imesambaa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473054    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad al-Toukhi alikuwa qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri.
Habari ID: 3473041    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/06

TEHRAN (IQNA)- Qari maarufu wa Misri, marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad alisafiri katika nchi nyingi duniani kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473033    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04