iqna

IQNA

misri
Waislamu na Wakristo Misri
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Misri kimetoa salamu za rambirambi kwa Wakristo nchini humo kutokana na moto kanisani uliosababisha vifo vya takriban watu 41 wakiwemo watoto.
Habari ID: 3475626    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mwanafunzi wa taaluma ya tiba katika Chuo Kikuu cha Alezandria nchini Misri ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani ya wasichana katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3475439    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Sura za Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Kisa cha Nabii Yusuf (AS) katika Qur’ani Tukufu kimejaa mengi kuhusu magumu ambayo aliyapitia kwa subira na imani na kufanikiwa kupata hadhi ya juu.
Habari ID: 3475421    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Qarii wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Klipu hii hapa chini inaonyesha qarii mtajika wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri Mustafa Ismail akisoma aya yza 30-36 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475390    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza tuzo na masharti kwa washiriki wa Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475337    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05

Qarii wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu imesambaa katika mitandao ya kijamii kuhus Qarii wa Misri, Marhum Sheikh Antar Saeed Musallam akisoma dua kabla ya kuanza qiraa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475327    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02

Mjue Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri Sheikh Ahmad Al-Tayyib ameutembelea Msikiti wa Imam Hussein (AS) mjini Cairo na kukagua kazi ya ukarabati iliyofanywa katika msikiti huo na majengo mengine yanayohusiana nao.
Habari ID: 3475319    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimejibu ukosoaji kuhusu darsa zake za kuhifadhi Qur'ani kwa watoto. Katika taarifa yake Jumapili, Kituo cha Al-Azhar cha Fatwa za Kielektroniki kilisema kuwa kulea watoto na kuwalea kwa ufahamu sahihi wa Quran ni nguzo ya utulivu wa jamii.
Habari ID: 3475316    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30

TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Khaled Suwaid, mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Misri cha Al-Manofiyeh nchini, alishinda nafasi ya pili katika Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Kazan, nchini Russia.
Habari ID: 3475311    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa masomo ya Qur'ani Tukufu katika majira ya joto katika misikiti ya Misri umepokelewa vyema na watoto wa shule.
Habari ID: 3475292    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

Uislamu na vita dhidi ya njaa
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu kuhusu kuweka akiba ili waweze kushughulikia hali ya sasa ya uhaba wa ngano na nafaka zingine.
Habari ID: 3475286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Misri ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutekeleza "njama mbovu" za kuangamiza utambulisho wa Kiarabu na Kiislamu wa mji wa Quds (Jerusalem) na kuvuruga maeneo yake matakatifu ya kidini.
Habari ID: 3475281    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA)- Marhoum Sheikh Nasiruddin Toubar ni mashuhuri kwa qiraa ya Ibtihal katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475227    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/09

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imesema misikiti na maeneo yote ya ibada nchini humo yanaweza kuanza tena shughuli za kawaida kama ilivyokuwa kama ya janga la corona.
Habari ID: 3475218    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Maimamu na wahubiri misikitini nchini Misri sasa watapata mafunzo maalumu kuhusu matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii, intaneti na mabadiliko ya kidijitali.
Habari ID: 3475215    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri, Sheikh Ahmed Ahmed Noaina amesoma Qur'ani Tukufu katika Msikiti wa Hagia Sophia huko Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3475206    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA)- Mohamed Ibrahim Ahmed Ghanim ni kijana M misri aliyeibuka mshindi katika shindano la qiraa katika Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tanzania mwaka huu.
Habari ID: 3475199    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mikubwa nchini Misri itaruhusiwa kufanya misa ya usiku wa manane katika siku za mwisho za Ramadhani.
Habari ID: 3475171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26

TEHRAN (IQNA)- Kasisi wa Kanisa la Koptik nchini Misri amehudhuria sherehe za kufunga mashindano ya kuhifadhi Qur'ani katika jimbo la Beheira nchini Misri.
Habari ID: 3475162    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28