misri - Ukurasa 8

IQNA

Tafsiri ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Tantawi Jawhari alikuwa mwanazuoni mashuhuri wa Misri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu ambaye kazi yake kuu ilikuwa Al-Jawahir fi Tafsir al-Quran al-Karim.
Habari ID: 3478757   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02

Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Mutawalli Abdul Aal Alikuwa qari mkubwa wa Misri ambaye alihifadhi shauku yake ya kusoma hadi siku za mwisho za uhai wake.
Habari ID: 3478746   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/28

Elimu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
Habari ID: 3478733   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
Habari ID: 3478725   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
Habari ID: 3478716   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Ramadhani
IQNA - Washindi wa Awamu ya 30 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametunukiwa zawadi katika hafla ya Jumamosi.
Habari ID: 3478644   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Qur'ani Tukufu
IQNA - Sheikh Nadi Fawzi ni qari maarufu wa Misri na imamu wa Msikiti wa Al-Noor huko Cairo.
Habari ID: 3478556   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Nidhamu
IQNA - Qari maarufu nchini Misri amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa tabia yake isiyo ya kawaida alipokuwa akisoma Qur’ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478471   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Fanous (taa) imekuwa ishara ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika baadhi ya nchi kwa mamia ya miaka. Taa hii pia ni maarufu kama Fanous Ramadhan.
Habari ID: 3478470   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Harakati za Qur'ani Misri
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuzindua msafara wa wasomaji Qur'ani Tukufu kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Msafara huo utaundwa na Idara ya Wakfu ya Mkoa wa Alexandria.
Habari ID: 3478441   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Misikiti nchini Misri inatayarishwa kuwakaribisha waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478436   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri iliandaa kongamano la Qur'ani katika misikiti 66 kote nchini.
Habari ID: 3478426   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya mabingwa katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu na utamaduni wa Kiislamu yamepangwa kufanyika nchini Misri msimu huu wa kiangazi.
Habari ID: 3478346   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani kwa watoto nchini Misri umepokelewa vyema sana katika majimbo tofauti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478341   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti mikubwa nchini Misri itakuwa imeandaa programu za Khatm al Qur’an (kusoma Quran nzima) katika siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Shaaban.
Habari ID: 3478336   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Watetezi wa Qur'ani
IQNA - Washiriki wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani huko Port Said, Misri, walifanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa wa Gaza.
Habari ID: 3478294   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Toleo la 7 la tukio la kimataifa la Qur'ani linatarajiwa kufanyika Port Said, kaskazini mwa Misri, Februari 2-6.
Habari ID: 3478293   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Qarii
IQNA – Sheikh Shaban Abdul Aziz Sayyad, qari mashuhuri wa Misri ambaye alijulikana kwa ufasaha, uwezo na umahiri wake wa kusoma Qur’ani Tukufu, alifariki Januari 29, 1998, akiwa na umri wa miaka 58.
Habari ID: 3478284   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Misri
IQNA - Ahmed Hijazi, mwanamuziki wa Misri, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kuitusi Qur'ani Tukufu, vyombo vya habari vya nchi hiyo vimeripoti.
Habari ID: 3478272   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

IQNA – Kiikao cha Khatmul Quran (kusoma Qur'ani Tukufu kutoka mwanzo hadi mwisho) kimefanyika kwa wanawake katika msikiti katika mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3478270   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29