Uislamu na Mazingira
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri siku ya Jumamosi ilizindua kitabu kuhusu uhusiano kati ya mazingira na Uislamu.
Habari ID: 3476043 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa mwito wa Umoja wa Kiislamu sambamba na kufanyika mazungumzo baina ya Maulamaa wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa ajili ya kukabiliana na fitina na mapigano ya kikaumu.
Habari ID: 3476037 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05
Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA) – Mshambulizi maarufu Timu ya Taifa ya Soka ya Misri, Mohammed Salah, bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson, na mshindi wa taji la Ballon d'Or la mwanasoka bora duniani Karim Benzema ni miongoni mwa wanamichezo Waislamu wenye ushawishi mkubwa mwaka 2023.
Habari ID: 3476013 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri, Sheikh Mohamed Mukhtar Gomaa amesema Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo limepewa jina la Qari bingwamarehemu Sheikh Mustafa Ismail.
Habari ID: 3476009 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/30
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Shirika la shule za Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limetangaza kuanza kwa mchakato wa usajili kwa wale walio tayari kushiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani ya kituo hicho.
Habari ID: 3475948 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18
Taazia
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Osama Abdel Azim, mwanazuoni wa Kiislamu na Qur'ani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74.
Habari ID: 3475883 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05
Kujifunza Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohamed Ata al-Basyuni ni mwalimu wa Qur'ani mwenye umri wa miaka 85 katika mji mmoja mkoani Gharbia nchini Misri.
Habari ID: 3475839 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 2
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad Mahmood Rafaat alikuwa miongoni mwa wasomaji Qur'ani mahiri nchini Misri. Ingawa alikuwa na ulemavu wa macho, aliibua kwa namna fulani mtindo tofauti wa qiraa au usomaji Qur'ani ikilinganishwa na maqari au wasomaji wenzake kwa kutumia silika na hisia zake za kina.
Habari ID: 3475768 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/11
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /1
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri Mahmud Ali Al-Banna (1926-1985) alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani wa zama zake.
Habari ID: 3475742 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Abdullah Mustafa, qarii wa Qur'ani Tukufu Misri mwenye ulemavu wa macho amehofadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa kusikiliza kupitia redio na simu yake ya mkononi.
Habari ID: 3475667 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23
Uungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA) – Picha za kuunga mkono Palestina zilizoonyeshwa na mashabiki wa timu ya soka ya Zamalek ya Misri zimesambaa miongoni mwa watumiaji wa Kiarabu wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3475660 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua vikao maalumu Qur'ani kwa wanawake katika majimbo manne ya nchi hiyo kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3475641 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18
Waislamu na Wakristo Misri
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Misri kimetoa salamu za rambirambi kwa Wakristo nchini humo kutokana na moto kanisani uliosababisha vifo vya takriban watu 41 wakiwemo watoto.
Habari ID: 3475626 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mwanafunzi wa taaluma ya tiba katika Chuo Kikuu cha Alezandria nchini Misri ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani ya wasichana katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3475439 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29
Sura za Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Kisa cha Nabii Yusuf (AS) katika Qur’ani Tukufu kimejaa mengi kuhusu magumu ambayo aliyapitia kwa subira na imani na kufanikiwa kupata hadhi ya juu.
Habari ID: 3475421 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24
Qarii wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Klipu hii hapa chini inaonyesha qarii mtajika wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri Mustafa Ismail akisoma aya yza 30-36 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475390 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza tuzo na masharti kwa washiriki wa Duru ya 29 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475337 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05
Qarii wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu imesambaa katika mitandao ya kijamii kuhus Qarii wa Misri, Marhum Sheikh Antar Saeed Musallam akisoma dua kabla ya kuanza qiraa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475327 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02
Mjue Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri Sheikh Ahmad Al-Tayyib ameutembelea Msikiti wa Imam Hussein (AS) mjini Cairo na kukagua kazi ya ukarabati iliyofanywa katika msikiti huo na majengo mengine yanayohusiana nao.
Habari ID: 3475319 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31