iqna

IQNA

Wasoomaji Qur'ani
IQNA - Wabunge kadhaa nchini Misri wametoa wito wa kuundwa kwa kamati mpya ya kusimamia usomaji wa Qur'ani au qiraa na maqari au wasomaji Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3479380    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04

Uteuzi
IQNA - Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi amemteua Mufti Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Kiarabu. Katika amri, alimteua Sheikh Nazir Mohamed Ayyad kama Mufti wa Misri kwa muhula wa miaka minne.
Habari ID: 3479273    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Mkurugenzi wa zamani wa Redio ya Qur'ani ya Misri ameieleza idhaa hiyo kuwa maarufu zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu.
Habari ID: 3479259    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

IQNA - Qari mashuhuri wa Misri Ahmed Ahmed Nuaina alielezea kipaji chake cha Qur'ani Tukufu kuwa ni baraka kubwa zaidi katika maisha yake.
Habari ID: 3479124    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Ahmed Refaat Afariki Dunia
Mchezaji wa kimataifa wa Misri Ahmed Refaat alifariki kutokana na matatizo baada ya mshtuko wa moyo.
Habari ID: 3479088    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08

Misri
Wizara ya Awqaf ya Misri ilisema kuna mipango ya ongezeko kubwa la shughuli za Qur'ani na programu za misikiti katika mwaka ujao wa kalenda ya mwandamo wa Kiislamu.
Habari ID: 3479066    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Harakati za Qur'ani
IQNA - Idhaa ya Qur'an ndiyo redio maarufu zaidi nchini Misri, kulingana na mkuu wa redio hiyo.
Habari ID: 3478919    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02

Harakati za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuanzisha vituo 30 vya kutpa mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3478912    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mohamed Mahmoud Tiblawi alikuwa qari mashuhuri nchini Misri ambaye aliwahi kuwa rais wa Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani nchini humo kwa miaka kadhaa.
Habari ID: 3478782    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06

Qari wa Qur'ani
IQNA: Sheikh Ahmed Suleiman al-Saadani alikuwa qari mashuhuri wa Misri na miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kurekodi kisomo chake.
Habari ID: 3478765    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Tafsiri ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Tantawi Jawhari alikuwa mwanazuoni mashuhuri wa Misri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu ambaye kazi yake kuu ilikuwa Al-Jawahir fi Tafsir al-Quran al-Karim.
Habari ID: 3478757    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02

Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Mutawalli Abdul Aal Alikuwa qari mkubwa wa Misri ambaye alihifadhi shauku yake ya kusoma hadi siku za mwisho za uhai wake.
Habari ID: 3478746    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/28

Elimu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
Habari ID: 3478733    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
Habari ID: 3478725    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
Habari ID: 3478716    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Ramadhani
IQNA - Washindi wa Awamu ya 30 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametunukiwa zawadi katika hafla ya Jumamosi.
Habari ID: 3478644    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Qur'ani Tukufu
IQNA - Sheikh Nadi Fawzi ni qari maarufu wa Misri na imamu wa Msikiti wa Al-Noor huko Cairo.
Habari ID: 3478556    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Nidhamu
IQNA - Qari maarufu nchini Misri amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa tabia yake isiyo ya kawaida alipokuwa akisoma Qur’ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478471    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Fanous (taa) imekuwa ishara ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika baadhi ya nchi kwa mamia ya miaka. Taa hii pia ni maarufu kama Fanous Ramadhan.
Habari ID: 3478470    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Harakati za Qur'ani Misri
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuzindua msafara wa wasomaji Qur'ani Tukufu kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Msafara huo utaundwa na Idara ya Wakfu ya Mkoa wa Alexandria.
Habari ID: 3478441    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03