iqna

IQNA

Qur'ani Tukufu
IQNA – Maqari watano wametakiwa kufika kwenye Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur’ani nchini Misri kwa ajili ya qiraa ya Qur'ani ambayo imeonekana kutozingatia nidhamu na heshima.
Habari ID: 3479812    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26

Qari wa Qur'ani
IQNA – Bintiye Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary amesema qari huyo mashuhuri wa Misri daima atajielezea kama mtumishi wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479807    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Miujiza ya Qur'ani
IQNA - Wanachuoni na wanafikra waliohudhuria mkutano huko Cairo juu ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani na Sunnah wamesitiza kwamba miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukkufu imethibitishwa na sayansi ya kisasa.
Habari ID: 3479652    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27

IQNA - Hatua ya awali ya mashindano ya uteuzi wa wawakilishi wa Misri katika toleo lijalo la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Port Said yamalizika.
Habari ID: 3479649    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/26

IQNA - Kongamano la kimataifa la Muujiza wa Kisayansi Ndani ya Qur'an na Sunna za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) limepangwa kufanyika nchini Misri baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3479642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25

Mazungumzo
IQNA - Mufti Mkuu wa Misri alisisitiza kwamba mazungumzo kati ya dini ni muhimu ili kukabiliana na changamoto za kimataifa na kufikia kuishi pamoja kwa amani.
Habari ID: 3479536    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

Umoja wa Kidini
IQNA - Mchungaji Mkristo nchini Misri amesambaza peremende au pipi za bure miongoni mwa watu katika hafla ya Milad-un-Nabi ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479438    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Maulidi
Misikiti ya IQNA – Misikiti nchini Misri ikiwemo ile inayonasibishwa na Ahl-ul-Bayt (AS), hususan Msikiti wa Imam Hussein (AS) na Msikiti wa Sayyidah Zainab (SA) mjini Cairo inatayarishwa kwa ajili ya sherehe za Milad-un-Nabi.
Habari ID: 3479424    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12

Harakati za Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani ya Misri iliwaonya maqari  dhidi ya kitendo chochote ambacho kinachukuliwa kuwa ni cha kutoheshimu Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479400    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08

Wasoomaji Qur'ani
IQNA - Wabunge kadhaa nchini Misri wametoa wito wa kuundwa kwa kamati mpya ya kusimamia usomaji wa Qur'ani au qiraa na maqari au wasomaji Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3479380    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04

Uteuzi
IQNA - Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi amemteua Mufti Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Kiarabu. Katika amri, alimteua Sheikh Nazir Mohamed Ayyad kama Mufti wa Misri kwa muhula wa miaka minne.
Habari ID: 3479273    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Mkurugenzi wa zamani wa Redio ya Qur'ani ya Misri ameieleza idhaa hiyo kuwa maarufu zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu.
Habari ID: 3479259    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

IQNA - Qari mashuhuri wa Misri Ahmed Ahmed Nuaina alielezea kipaji chake cha Qur'ani Tukufu kuwa ni baraka kubwa zaidi katika maisha yake.
Habari ID: 3479124    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Ahmed Refaat Afariki Dunia
Mchezaji wa kimataifa wa Misri Ahmed Refaat alifariki kutokana na matatizo baada ya mshtuko wa moyo.
Habari ID: 3479088    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08

Misri
Wizara ya Awqaf ya Misri ilisema kuna mipango ya ongezeko kubwa la shughuli za Qur'ani na programu za misikiti katika mwaka ujao wa kalenda ya mwandamo wa Kiislamu.
Habari ID: 3479066    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Harakati za Qur'ani
IQNA - Idhaa ya Qur'an ndiyo redio maarufu zaidi nchini Misri, kulingana na mkuu wa redio hiyo.
Habari ID: 3478919    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02

Harakati za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuanzisha vituo 30 vya kutpa mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3478912    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mohamed Mahmoud Tiblawi alikuwa qari mashuhuri nchini Misri ambaye aliwahi kuwa rais wa Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani nchini humo kwa miaka kadhaa.
Habari ID: 3478782    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06

Qari wa Qur'ani
IQNA: Sheikh Ahmed Suleiman al-Saadani alikuwa qari mashuhuri wa Misri na miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kurekodi kisomo chake.
Habari ID: 3478765    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Tafsiri ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Tantawi Jawhari alikuwa mwanazuoni mashuhuri wa Misri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu ambaye kazi yake kuu ilikuwa Al-Jawahir fi Tafsir al-Quran al-Karim.
Habari ID: 3478757    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02