iqna

IQNA

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Misikiti nchini Misri inatayarishwa kuwakaribisha waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478436    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri iliandaa kongamano la Qur'ani katika misikiti 66 kote nchini.
Habari ID: 3478426    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya mabingwa katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu na utamaduni wa Kiislamu yamepangwa kufanyika nchini Misri msimu huu wa kiangazi.
Habari ID: 3478346    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani kwa watoto nchini Misri umepokelewa vyema sana katika majimbo tofauti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478341    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti mikubwa nchini Misri itakuwa imeandaa programu za Khatm al Qur’an (kusoma Quran nzima) katika siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Shaaban.
Habari ID: 3478336    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Watetezi wa Qur'ani
IQNA - Washiriki wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani huko Port Said, Misri, walifanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa wa Gaza.
Habari ID: 3478294    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Toleo la 7 la tukio la kimataifa la Qur'ani linatarajiwa kufanyika Port Said, kaskazini mwa Misri, Februari 2-6.
Habari ID: 3478293    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Qarii
IQNA – Sheikh Shaban Abdul Aziz Sayyad, qari mashuhuri wa Misri ambaye alijulikana kwa ufasaha, uwezo na umahiri wake wa kusoma Qur’ani Tukufu, alifariki Januari 29, 1998, akiwa na umri wa miaka 58.
Habari ID: 3478284    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Misri
IQNA - Ahmed Hijazi, mwanamuziki wa Misri, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kuitusi Qur'ani Tukufu, vyombo vya habari vya nchi hiyo vimeripoti.
Habari ID: 3478272    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

IQNA – Kiikao cha Khatmul Quran (kusoma Qur'ani Tukufu kutoka mwanzo hadi mwisho) kimefanyika kwa wanawake katika msikiti katika mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3478270    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

Uislamu kwa watu wote
IQNA - Nakala za Qur'ani Tukufu na vitabu vya Kiislamu katika maandishi ya maandishi ya nukta nundu au kwa lugha ya kiingereza Braille, ni miongoni mwa vitu vilivyoonyeshwa kwenye toleo la 55 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3478267    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

Utamaduni wa Kiislamu
IQNA - Mwandishi wa kaligrafia kutoka Misri ambaye amekamilisha uandishi wa Qur'ani Tukufu anasema kufikia mafanikio haya ni ndoto ya kila mwanakaligrafia Muislamu.
Habari ID: 3478235    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20

Qari Maarufu wa Misri
IQNA - Sheikh Mahmoud al-Bujairami alikuwa qari mashuhuri wa Misri ambaye alisafiri katika nchi nyingi za Kiislamu kwa ajili ya kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478207    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17

Msomaji Qur'ani
IQNA - Mahmoud Shahat Anwar, qari maarufu wa Misri ambaye ni mtoto wa marehemu msomaji wa Qur'ani Sheikh Shahat Muhammad Anwar, alimuelezea baba yake kama mfano wake wa kwanza wa kuigwa na chanzo cha mwongozo.
Habari ID: 3478192    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Usomaji Qur'ani
IQNA - Redio ya Qur'ani ya Misri imempiga qarii mmoja mkuu kutokana na kufanya makosa katika kusoma Qur'ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478162    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Taazia
IQNA - Mwanaume anayejulikana kama Hafidh mzee zaidi wa Qur'ani Tukufu katika Jimbo la Kafr El-Shaikh nchini Misri ameaga dunia katika mji aliozaliwa akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3478132    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu huko Port Said, Misri, yataanza Februari 1, 2024.
Habari ID: 3478121    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Qur'ani Tukufu
IQNA - Ndugu saba katika familia ya Misri wameweza kujifunza Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3478116    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Programu ya kila wiki ya Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) ilifanyika nchini Misri kwa kushirikisha maqari kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3478098    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26