iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Ayatullah Muhsin Araki, mwanachama wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu Iran, amewatumia ujumbe wa video vijana wanaoandamana kote duniani hakitaka haki na uadilifu duniani.
Habari ID: 3472879    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 27-29 mwezi Desemba.
Habari ID: 3468455    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/23

Ayatollah Araki
Katibu mkuu wa Jumuiya ya Kimatiafa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu Ayatollah Mohsen Araki ametoa wito kwa wanazuoni wa Kiislamu kufuatilia suala la kuundwa Umoja wa Nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3384011    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/11

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesisitiza udharura wa kudumishwa umoja wa Waislamu kwa ajili ya kutatua matatizo ya Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3336969    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/30

Ayatullah Muhsin Araki
Waislamu duniani wametakiwa wasisahau kadhia ya kupigania ukombozi wa Palestina katika kipindi hiki ambapo wengi wanajishughulisha na tatizo sugu la ugaidi na jinai zinazotekelezwa na kundi la kigaidi na kitakifiri la Daesh au ISIS.
Habari ID: 3322212    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/01

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amewataka Waislamu kuwa macho katika kukabiliana na njama za maadui wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2689576    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09

Tehran (IQNA)- Kongamano la kimataifa lenye anuani ya “Umoja wa Kimataifa Kwa Mtazamo wa Qur’ani na Hadithi” linatazamiwa kufanyika Tehran, Ijumaa tarehe pili Januari.
Habari ID: 2626656    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/25

Ayatullah Muhsin Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuzikurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, miongoni mwa malengo muhimu ya risala ya Kiislamu na jukumu la Bwana Mtume SAW lilikuwa ni kuleta umoja baina ya watu
Habari ID: 1441626    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/21

Kikao cha Kwanza cha Jumuiya ya Kimatiafa ya Wafanyabiashara wa Nchi za Kiislamu kinafanyika katika kisiwa cha Kish kusini mwa Iran.
Habari ID: 1402843    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/04