iqna

IQNA

uganda
Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.
Habari ID: 3477279    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14

Diplomasia
KAMPALA (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyashambulia madola ya Maagharibi kutokana na hatua yao ya kutetea vitendo vichafu vya ushoga na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
Habari ID: 3477275    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Maafisa 13 wa polisi waliowatesa Waislamu walisimamishwa kazi nchini Uganda.
Habari ID: 3477155    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/18

Ushirikiano wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Kampala, mji mkuu wa Uganda, kimetia saini mkataba wa maelewano (MoU) na Idhaa ya Kiislamu ya Bilal ya nchi hiyo ya kuhusu ushirikiano katika nyanja za kitamaduni.
Habari ID: 3476807    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03

Hali ya Waislamu Uganda
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uganda kutoka makundi yote ya jamii jana Jumatatu walipinga kukamatwa kiholela kwa viongozi wa Waislamu wakati wa uvamizi wa misikiti.
Habari ID: 3476206    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06

Mfumo wa kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Baraza la mawaziri la Uganda limefanyia marekebisho Sheria ya Taasisi Ndogo za Fedha ya mwaka 2003, ambayo itawezesha upanuzi wa huduma za kifedha za Kiislamu.
Habari ID: 3475499    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Uuzaji wa nyama ya nguruwe karibu na makaburi ya Kiislamu nchini Uganda umelaaniwa na miili ya Waislamu na wabunge katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475450    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02

TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani ya wanafunzi wa shule na vyuo vikuu vya Uganda yamemalizika kwa kuzawadiwa washindi.
Habari ID: 3475223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08

TEHRAN (IQNA)-Warsha imefanyika nchini Uganda kuhusu kuifahamu Qur'ani Tukufu na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475103    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09

TEHRAN (IQNA)- Wanafuzni Waislamu katika Chuo Kikuu cha Kyambogo mjini Kampala nchini Uganda wanataka chuo hicho kiwaajiri maafisa usalama wanawake wanawake ambao watakua na jukumu la kuwapekua wanafunzi wa kike.
Habari ID: 3474654    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la ISIS limetoa taarifa na kudai kuwa limehusika na hujuma za kigaidi nchni Uganda Jumanne.
Habari ID: 3474575    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimesambaza katika mitandao ya kijamii wasifu wa mwanakemia Mwislamu Muirani Zakaria Razi.
Habari ID: 3474237    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/29

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya wanafunzi yamefanyika hivi karibuni nchini Uganda.
Habari ID: 3474015    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Uganda wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473966    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

TEHRAN (IQNA) Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda kimeandaa maonyesho ya Qur’ani katika mji wa Kampala kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473864    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA) Mufti Mkuu wa Uganda anayefungamana na mrengo wa 'Kibuli Hill' mjini Kampala, Sheikh Silman Kasule Ndirangwa alitangaza kujiuzuli wadhifa huo Alhamisi iliyopita.
Habari ID: 3473787    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani kwa ajili ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Uganda katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3473705    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/05

TEHRAN (IQNA) – Wiki kadhaa baada ya kumaliza kujenga Msikiti wa Jamia wa Mji wa Zigoti nchini Uganda, Waislamu wa eneo hilo sasa wameanzisha mkakati wa kupanda miti na kujenga chuo cha Qur’ani kandi ya msikiti huo.
Habari ID: 3473406    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/29

TEHRAN (IQNA) – Televisheni moja nchini Uganda imeandaa kipindi maalumu ambacho kimejadili vizingiti katika kufikia umoja baina ya Waislamu.
Habari ID: 3473386    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Waislamu Uganda (UMSC) limefanikiwa kumiliki televisheni kwa ajili ya kueneza mafundisho ya Kiislamu na harakati za Kiislamu.
Habari ID: 3473298    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/26