iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wati 16, wakiwemo raia 13 na askari watatu wameuawa jimboni Ituri Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokraisia ya Kongo (DRC) kufuatia hujuma ambayo imetekelezwa na waasi wa ADF kutoka nchi jirani ya Uganda.
Habari ID: 3473651    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15

TEHRAN (IQNA) – Nchi za mashariki mwa Afrika zimepongeza makubaliano ya amani baina ya Serikali ya Mpito ya Sudan na Muungano wa Harakati ya Kimapinduzi kutoka jimbo la Darfur na katika majimbo ya kaskazini ili kuhitimisha mgogoro wa miaka 17 nchini humo.
Habari ID: 3473134    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03