iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid Muallem amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, shirika rasmi la habari nchini humo SANA, limeripoti.
Habari ID: 3473366    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/16