Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 13
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya Qur'ani Tutufu ya qari wa Misri marehemu Shahat Muhammad Anwar ni Hazin (yenye sauti ya huzuni) na hiyo ndiyo imependekezwa katika Hadithi.
Habari ID: 3476197 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiiga mtindo wa marehemu baba yake.
Habari ID: 3474787 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10
TEHRAN (IQNA)- Taha Ezzat ni kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka mkoa wa El Beheira Misri na amepata umashuhuri Misri na duniania kutokana na qiraa yake ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474594 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani alipotembelea ofisi za tovuti ya Al Balad.
Habari ID: 3474221 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24
TEHRAN (IQNA)- Surah Al-Qadr ni ya 97 katika Qur'ani Tukufu na ina aya 5.
Habari ID: 3473883 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya Qur’ani Tukufu ya qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Anwar Shahat Anwar akiseoma Qur’ani Tukufu mjini Kermanshah Iran, imesembazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473637 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09