TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiiga mtindo wa marehemu baba yake.
Habari ID: 3474787 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10
TEHRAN (IQNA)- Taha Ezzat ni kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka mkoa wa El Beheira Misri na amepata umashuhuri Misri na duniania kutokana na qiraa yake ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474594 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23
TEHRAN (IQNA)- Qarii Mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe iliyofanyika kwa mnasaba wa Milad un Nabi au maadhimisha ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474466 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani alipotembelea ofisi za tovuti ya Al Balad.
Habari ID: 3474221 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24
TEHRAN (IQNA)- Surah Al-Qadr ni ya 97 katika Qur'ani Tukufu na ina aya 5.
Habari ID: 3473883 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya Qur’ani Tukufu ya qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Anwar Shahat Anwar akiseoma Qur’ani Tukufu mjini Kermanshah Iran, imesembazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473637 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09
TEHRAN (IQNA) - Mahmoud Shahat Anwar, qarii maarufu wa Misri amehudhuria sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW maarufu kama Maulidi ambapo na kusoma aya za Qur'ani.
Habari ID: 3473337 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07
TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia.
Habari ID: 3473221 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01
TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri, Mahmodu Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia nchini humo.
Habari ID: 3473109 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27
TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar akiwa anasema aya za Qur'ani mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Habari ID: 3472999 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Shahat Mohammad Anwar amesoma aya 185 ya Sura Al-Baqara kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Sawmu pamoja na aya ya 186 ya sura hiyo hiyo.
Habari ID: 3472757 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11
Habari ID: 3471014 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/10
Habari ID: 3470367 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08