Hija
IQNA - Mwanafikra na Mtaalamu wa Uislamu kutoka Kanada ameitaja Hija kama sio tu ibada lakini mkusanyiko mkubwa zaidi wa amani duniani.
Habari ID: 3478962 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11
Hija 1445
IQNA-Zaidi ya Waislamu milioni 2 wamewasili Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija mjini Makka mwaka huu huku nchi za Kiislamu pia zikitangaza tarehe ambazo zitaadhimisha siku kuu ya Idul Adha katika mwaka wa 1445 Hijria Qamari (2024 Miladia).
Habari ID: 3478960 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/11
Falsafa ya Hija katika Qur'ani /3
IQNA - Hija ni safari ya kiroho inayofungua njia kwa ajili ya mapinduzi ya kimaadili katika nyoyo na kufungua mlango mpya katika maisha ya Mahujaji.
Habari ID: 3478959 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/10
Hija 1445
IQNA - Katika kilele cha msimu wa joto kali katika Ufalme wa Saudi Arabi, mamilioni ya Waislamu ulimwenguni kote wamekusanyika Makka kutekeleza ibada ya Hija. Mkusanyiko huu mkubwa unaibua wasiwasi kuhusu changamoto zinazoweza kujitokeza katika siku zijazo.
Habari ID: 3478957 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/10
IQNA – Nakala milioni moja za Qur’ani Tukufu yenye tafsiri katika lugha tofauti zitasambazwa miongoni mwa mahujaji kama zawadi katika msimu wa Hija mwaka huu.
Habari ID: 3478954 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/09
Falsafa ya Hija katika Qur'ani / 2
IQNA – Ibada ya Hija ni ina kumbukumbu za mapambano ya Nabii Ibrahim (AS), mkewe Hajar na mwanawe Ismail (AS).
Habari ID: 3478952 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/09
IQNA – Mshiriki mkongwe zaidi aliyewasili katika ibada ya Hija mwaka huu ni mwanamke kutoka Iraq.
Habari ID: 3478949 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
Hija
IQNA – Kikao cha kimataifa cha kufungamana na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wakati wa ibada ya Hija kimepengwa kufanyika Jumatatu hii kwa njia ya intaneti..
Habari ID: 3478948 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
Hija 1445
IQNA - Zaidi ya Waislamu milioni 1.2 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka huku hali ya joto ikiongezeka.
Habari ID: 3478947 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
IQNA - Mtaalamu wa afya ametoa mapendekezo ya kuzuia homa au mafua ya kawaida wakati wa msimu Hija.
Habari ID: 3478936 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05
Hija 1435
IQNA-Waziri wa Ulinzi Kenya Aden Duale Jumatatu aliaga kundi la kwanza la Wakenya 300 waliokuwa wanaelekea nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija.
Habari ID: 3478931 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04
Hija
IQNA - Takriban Waislamu milioni moja wamewasili Saudi Arabia kutoka maeneo mbali mbali dunaini kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3478930 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04
Turathi za Kiislamu
IQNA – Msikiti wa Shajarah, unaojulikana pia kama Msikiti wa Dhul Hulaifah na Al-Ihram, ni miongoni mwa misikiti ya kihistoria katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3478921 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02
Hija 1445
IQNA - Wajumbe wa msafara wa Qur'ani wa Iran walioko Makka wamesem Qur'ani Tukufu nje ya Msikiti Mtakatifu wa Makka.
Kila mwaka mamilioni ya Waislamu kutoka duniani kote hukusanyika Makka kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3478918 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02
Hija 1435
IQNA - Duru ya tano ya kikao cha qiraa ya Qur'ani Tukufu iliyohudhuriwa na wajumbe wa Msafara wa Nur wa Qur'ani kutokaIran, imefanyika katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3478906 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/31
Hija 1445
IQNA - Zaidi ya nusu ya Wairani wanaotarajiwa kuhiji mwaka huu wamewasili Saudi Arabia, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478905 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/31
Hija 1435
IQNA - Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia Ali Reza Enayati amefanya mazungumzo na Abdulaziz bin Saud bin Naif, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Hajj.
Habari ID: 3478896 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28
Hija 1445
IQNA - Msikiti wa Mtume SAW uliopo Madina -al-Masjid al-Nabawi- unatembelewa na waumini kutoka nchi mbalimbali wanaowasili Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3478893 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28
IQNA - "Hija yetu mwaka huu ni Hijja ya bara'at (kujibari na kujiweka mbali na mushirikina) kwa sababu ya kile kinachotokea Gaza na Palestina." Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei. Mei 6, 2024.
Habari ID: 3478892 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/27
Hija
IQNA - Kundi la kwanza la Wairani walioelekea Hija kutoka Iran waliwasili katika mji mtakatifu wa Madina Jumatatu Mei 13.
Habari ID: 3478816 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/13