iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amemteua Hujjatul Islam wal Muslimin Gholamhossein Mohseni-Ejei kuwa Mkuu mpya wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3474061    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01