iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia anashikiliwa kifungo cha nyumbani kutokana na kile ambacho kimetajwa ni kutumia vibaya madaraka.
Habari ID: 3474167    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07