iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani alipotembelea ofisi za tovuti ya Al Balad.
Habari ID: 3474221    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24