TEHRAN (IQNA) – Huku Waislamu kote Uingereza wakihangaika kujikimu, Mfuko wa Kitaifa wa Zakat (NZF) umeripoti ongezeko la asilimia 90 la maombi ya mahitaji muhimu kama vile chakula na nguo ikilinganishwa na mwaka jana.
Habari ID: 3475042 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Mauritania yatafanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3475040 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya Waislamu 100 wa jamii ya Rohingya waliokuwa na njaa na udhaifu mkubwa wa kimwili walipatikana kwenye ufuo wa bahari katika mkoa wa kaskazini mwa Indonesia wa Aceh baada ya wiki kadhaa baharini.
Habari ID: 3475019 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Ufaransa imeshutumiwa kwa kuwalenga Waislamu kwa njia iliyoratibiwa.
Habari ID: 3475001 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu Kiislamu (WFPIST) ametoa wito kwa viongozi wa India na viongozi wa kitamaduni, kisiasa, wasomi na vyombo vya habari kusaidia kulinda haki za Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3474987 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu kutoka dini zote walikusanyika mjini Johannesburg siku ya Ijumaa kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na vitisho vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu katika baadhi ya maeneo ya India.
Habari ID: 3474979 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) lilitoa wito wa kufunguliwa mashtaka ya uhalifu wa chuki mwanamume wa Maine anayeshukiwa kupanga kulipua misikiti huko Chicago.
Habari ID: 3474973 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Al-Rahma huko Liverpool nchini Uingereza umeshinda tuzo ya heshima kwa kazi yake kubwa ya uhamasishaji katika jamii mwaka jana.
Habari ID: 3474972 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa, hususan Umoja wa Mataifa na mashirika husika ya kimataifa ya haki za binadamu, kuiwajibisha India kutokana na kukithiri ukiukaji wake wa haki za binadamu dhidi ya walio wachache, hasa Waislamu.
Habari ID: 3474971 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za Umoja wa Mataifa wametaka kukomeshwa kwa mashambulizi ya mtandaoni "ya kuchukiza dhidi ya wanawake na ya kimadhehebu" dhidi ya mwanahabari Muislamu nchini India, wakiomba mamlaka kuchunguza unyanyasaji huo.
Habari ID: 3474966 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
TEHRAN (IQNA)- Wabunge kadhaa nchini Kuwait wametaka wanachama wa chama tawala India, Bharatiya Janata (BJP) wapigwe marufuku kuingia nchini humo kutokana na kuhusika kwao na ukandamizaji wa Waislamu nchini India.
Habari ID: 3474955 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) leo Jumatatu inaanza kusikiliza tena kesi ya mauaji ya Waislamu wa Rohingya wa Myanmar iliyokuwa imewasilishwa na Gambia katika mahakama hiyo.
Habari ID: 3474954 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21
TEHRAN (IQNA)- Bidhaa ‘Halal’ na hasa vyakula vinazidi kupata umaarufu nchini Russsia, nchi kubwa zaidi duniani.
Habari ID: 3474951 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/20
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza katika historia ya Algeria, mwanamke mtangazaji habari amejitokeza akiwa amevaa Hijabu katika televisheni ya kitaifa.
Habari ID: 3474944 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18
TEHRAN (IQNA)- Huku mzozo wa Hijabu ukiendelea kutokota katika jimbo la Karnataka nchini India, wanawake Waislamu wameandamana katika mji wa Ludhiana, jimboni Punjab kuunga mkono haki ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3474924 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13
TEHRAN (IQNA)- Sala ya Ijumaa haikuruhusiwa kufanywa kwa wiki ya 28 mfululizo kwenye Msikiti Mkuu huko Srinagar, katika eneo la Kashmir linalozozaniwa na ambalo linatawaliwa na India
Habari ID: 3474923 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji nyota wa Manchester United, Paul Pogba aliingia kwenye mitandao ya kijamii siku ya Alhamisi na kusambaza video yenye kuwatetea wanawake Waislamu India wanaovaa Hijabu kufuatia mzozo unaoendelea kuhusu Hijab katika Jimbo la Karnataka nchini India.
Habari ID: 3474914 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10
TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyowekwa kwenye mtandao wa Twitter ikimuonyesha mwanafunzi Muislamu aliyevaa hijabu akibughudhiwa kwa maneno na genge la wahindu wenye misimamo ya kufurutu mpaka katika chuo kimoja cha jimbo la Karnataka nchini India, imezusha moto wa hasira na kuzidisha malalamiko ya kupinga marufuku ya uvaaji hijabu iliyowekwa katika taasisi za elimu za jimbo hilo.
Habari ID: 3474910 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09
Msemaji wa Harakati ya Nujabaa
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq alisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi pekee iliyosimama kidete kukabiliana na Marekani baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3474908 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Afrika (AU) umesimamisha nafasi ya mwanachama mwangalizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika umoja huo hatua ambayo ni pigo kwa utawala huo unaokaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474901 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07