waislamu - Ukurasa 21

IQNA

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Maandamano yamezuka baada ya msikiti katika viunga vya Hyderabad nchini India kubomolewa na manispaa ya mji huo.
Habari ID: 3475572   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika Silopi, mkoa wa Sirnak, kusini mashariki mwa Uturuki, kuzindua shule ya kufundisha vijana kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3475564   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitukufu ya Makka na Madina imepokea kundi la kwanza la Waislamu waliongia Saudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah Jumamosi.
Habari ID: 3475563   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Waislamu Canada
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya sanaa ya Kiislamu yalizinduliwa mapema wiki hii huko Saanich, Victoria nchini Canada.
Habari ID: 3475560   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Halmashauri ya Jiji la Madrid imekubali kutenga ardhi katika mji mkuu wa Uhispania kwa ajili ya ya mazishi ya Waislamu.
Habari ID: 3475559   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta za kielimu, kisiasa, kiuchumi na usimamizi huku wakiwa wanazingatia Hijabu, vazi la staha la Kiislamu jambo ambalo limewakasirisha maadui.
Habari ID: 3475555   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA) – Kulingana na utafiti mpya, Waislamu na watu weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na viwango vya juu zaidi vya ubaguzi kote Uingereza.
Habari ID: 3475542   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Qur'ani Tukufu Inasemaje /22
TEHRAN (IQNA) – Baada ya tukio la Mubahala lililotokea kufuatia msisitizo wa Wakristo wa Najran juu ya wao kuwa kwenye haki, aya za Qur’an ziliteremshwa zinazotaka mazungumzo na kuzingatia mambo nukta za pamoja. Hii inaonyesha kwamba mtazamo wa Qur'an ambao unatilia mkazo mwingiliano na mazungumzo.
Habari ID: 3475540   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Haki za Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameilaani Ugiriki kwa madai ya kukiuka mkataba wa amani wa karne moja na kuwakandamiza Waislamu walio wachache katika eneo la Thrace.
Habari ID: 3475539   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Waislamu China
TEHRAN (IQNA)- Rais Xi Jinping wa China amewataka viongozi kuongeza juhudi kuhakikisha kwamba Uislamu nchini China unaendana na kaununi za dini nchini humo na sera za kisoshalisti zinazofuatiliwa na Chama tawala cha Kikomunisti cha China.
Habari ID: 3475512   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu nchini Uingereza wanataka waziri mkuu ajaye nchini humo akabiliane na chuki ya kimfumo dhidi ya Uislamu katika Chama cha Kihafidhina (Conservative).
Habari ID: 3475509   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16

TEHRAN (IQNA) – Lee Myung Won ni Muislamu kutoka Korea Kusini ambaye hivi sasa anafanya kazi ya kutafsiri Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kikorea.
Habari ID: 3475505   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Lebanon na katibu mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Muqawama au Mapambano ya Kiislamu amelaani vikali ufalme wa Saudia kwa kumteua mhubiri anayeunga mkono utawala haramu wa Israel kuongoza Sala wakati wa Siku ya Arafah wakati wa Hija.
Habari ID: 3475494   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Jinai dhidi ya Waislamu
Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi Kajsa Ollongren amewaomba msamaha kwa Waislamu wa Bosnia na ameshiriki katika ibada ya kumbukumbu ya 27 ya waathirika wa mauaji ya kimbari ya Srebrenica.
Habari ID: 3475492   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Sikukuu ya Idul Adha
TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika mji mkuu wa Canada, Ottawa, wamekuwa wamekusanyika kusherehekea Idul Adha ana kwa ana mwaka huu – haya yakiwa ni mabadiliko makubwa baada ya miaka miwili ya vikwazo vya COVID-19.
Habari ID: 3475488   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejiunga na wenzaoi duniani leo kuadhimisha sikukuu ya Idul Adha sambamba na Mahujaji wanaokamilisha ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3475485   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/10

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mahujaji Wairani wameshiriki katika mjumuiko wa kujibari na kujiweka mbali na washirikina (bar’aat min-al-mushrikeen) siku ya Ijumaa wakati wa Ibada ya Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria
Habari ID: 3475482   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/09

Msomi wa Kuwait
TEHRAN (IQNA) – Msomi wa chuo kikuu nchini Kuwait alisema vikwazo vya kiuchumi ni mojawapo ya nguvu kuu za Waislamu katika kukabiliana na serikali zinazounga mkono chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3475455   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Uuzaji wa nyama ya nguruwe karibu na makaburi ya Kiislamu nchini Uganda umelaaniwa na miili ya Waislamu na wabunge katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475450   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02