TEHRAN (IQNA)-Ingawa idadi ya Waislamu wa Japani inaendelea kuongezeka, kuna makaburi machache sana katika nchi hii, ambapo kuchoma maiti ni jambo la kawaida.
Habari ID: 3475239 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/12
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amebainisha masikitiko yake juu ya mapigano makali ya hivi karibuni kati ya Waislamu na Wakristo wa Orthodox nchini Ethiopia, ambapo takriban watu 30 waliripotiwa kuuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa.
Habari ID: 3475226 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/09
QOM (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Iran Mh. Joshua Gatimu ametembelea Haram Takatifu ya Bibi Maasuma - Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-katika mji wa Qum.
Habari ID: 3475222 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
TEHRAN (IQNA)-Utumizi wa neno 'Insallah' (Mungu Akipenda) umeenea sana miongoni mwa Waislamu kote duniani.
Habari ID: 3475221 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Russia wametangaza uungaji mkono jitihada za ukombozi wa taifa linalodhulumiwa la Palestina ambalo linakoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475220 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
TEHRAN (IQNA)- Msitiki umehujumiwa katika mji wa Metz, kaskazini mashariki mwa Ufaransa siku moja kabla ya Emmanuel Macron kuapishwa kuendelea kuwa rais wa Ufaransa.
Habari ID: 3475217 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu zimesherehekea Idul Fitr baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wakati ambao katika baadhi ya nchi za Kiislamu amani na usalama inaonekana kuwa kiungo muhimu zaidi kinachokosekana katika maisha ya watu wa nchi hizo.
Habari ID: 3475210 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi katika mji wa Mumbai nchini India imetoa idhini kwa misikitini 803 kutumia vipaza sauti kwa ajili ya adhana.
Habari ID: 3475208 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya mabarobaro imemalizija Jumatatu wiki hii nchini Zambia.
Habari ID: 3475207 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA)- Makaburi ya Waislamu na Wakristo wa Kiothodoxi yamehujumiwa katika mji wa Malmo nchini Sweden katika kile kinachoonikana na kuongezeka chuki zinazochochewa na makundi ya wazungu wenye misimamo mikali ya kibaguzi.
Habari ID: 3475205 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04
TEHRAN (IQNA) Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamua ametuma salamu za mkono wa Idi kwa Waislamu na viongozi wa nchi za Kiislamu duniani kote
Habari ID: 3475201 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Jumuiya ya Kiislamu ya Raleigh katika jimbo la North Carolina nchini Marekani, ambacho ni msikiti na mahali pa kukutania jamii ya Waislamu, kimejitokeza ili kuhakikisha kila mtu aliyefunga anakuwa na Ramadhani yenye furaha.
Habari ID: 3475190 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameupongeza mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa kuuzuia utawala wa Kizayuni kutekeleza uharibifu zaidi katika eneo kama walivyofanya magaidi wakufurishaji.
Habari ID: 3475183 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29
TEHRAN (IQNA)- Genge moja la magaidi wa Kikristo lililokuwa limejizatiti kwa silaha nzito limewavamia na kuwaua Waislamu zaidi ya 20 katika mji wa Gondar wa kaskazini mwa Ethioia wakati Waislamu wao walipokuwa kwenye maziko ya mzee mmoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3475181 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28
TEHRAN (IQNA)- Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021, mwaka huo huo ambao ulishuhudia ongezeko kubwa la visa vya ubaguzi na unyanyasaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475178 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28
TEHRAN (IQNA)- Msimu wa sasa wa Hija ndogo ya Umrah kwa Waislamu kutoka nje ya Saudia utamalizika katika siku ya mwisho ya Mwezi wa Shawwal ambayo inatarajiwa kusadifina na Mei 31.
Habari ID: 3475177 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27
TEHRAN (IQNA)- Kasisi wa Kanisa la Koptik nchini Misri amehudhuria sherehe za kufunga mashindano ya kuhifadhi Qur'ani katika jimbo la Beheira nchini Misri.
Habari ID: 3475162 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Liberia inayoongozwa na Rais George Weah imechukua hatua ya aina yake kuruhusu kuwaruhusu wanafunzi wa kike Waislamu wake kuvaa Hijabu wakiwa chuoni wakati wa kuadhimisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475161 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi dhidi ya shule kadhaa katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul sambamba na kutuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha.
Habari ID: 3475146 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/20
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa wito kwa Umma mzima wa Kiislamu kuanzisha harakati kubwa zaidi dhidi ya kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden.
Habari ID: 3475143 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19