IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.
Habari ID: 3480297 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Wazazi na walimu nchini Marekani wametakiwa kuhudhuria webinari (warsha za mtandaoni) mbili zijazo zinazolenga kuunga mkono wanafunzi Waislamu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480210 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13
IQNA – Kufuatia moto mbaya huko Los Angeles, California nchini Marekani ambao umeuteketeza Msikiti wa At-Taqwa, jamii ya Waislamu imekusanya zaidi ya dola 745,000 kwa ajili ya kujenga upya msikiti huo.
Habari ID: 3480067 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/17
Waislamu Marekani
IQNA – Mji wa Michiganu Januari kuwa "Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani," ili kutambua michango muhimu ya Waislamu wa Marekani katika utamaduni, uchumi, na jamii katika jimbo hilo.
Habari ID: 3480036 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11
Uislamu Ujerumani
IQNA - Kamishna wa Shirikisho la Kupambana na Ubaguzi nchini Ujerumani, Reem Alabali-Radovan, ameelezea wasiwasi wake siku ya Jumatatu kuhusu kuongezeka kwa chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu kufuatia tukio la hujuma kwa kutumia gari katika soko la Krismasi huko Magdeburg wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 5 na kujeruhi wengine 200.
Habari ID: 3479948 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24
Waislamu wa Marekani
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Naperville (ICN) nchini Marekani kimekamilisha awamu ya awali ya mradi wake mpya wa msikiti wa futi za mraba 28,400 kwenye barabara ya 248th Avenue.
Habari ID: 3479929 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Haki za Waislamu
IQNA – Shule ya Oshwal Academy nchini Kenya meamriwa na Mahakama Kuu kuwaruhusu wanafunzi wa Kiislamu kuswali Swala ya Adhuhuri ndani ya shule hiyo.
Habari ID: 3479889 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Uislamu Duniani
IQNA – Mji wa Sao Paulo nchini Brazil ni mwenyeji wa Mkutano wa 37 wa Kimataifa wa Waislamu wa Amerika Kusini na Karibiani.
Habari ID: 3479841 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
Waislamu Duniani
IQNA - Rais wa Shirikisho la Waislamu wa Korea (KMF) amepewa zawadi ya nakala ya Qur’ani Tukufu yenye tarjuma za Kiingereza na Kikorea.
Habari ID: 3479820 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Qurani Tukufu
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za Kiislamu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amelaani kuendelea kuharamishwa kwa kuswali Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq (AS) huko Diraz katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3479764 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17
IQNA – Kituo cha Kiislamu kinachojulikana kama Centro Islámico huko Alief kinatazamiwa kuandaa sherehe kubwa ya ufunguzi wikendi hii kwani kituo hicho kinalenga kutoa nafasi kwa jamii kwa Waislamu wanaozungumza Kihispania katija mji wa Houston, Texas nchini Marekani.
Habari ID: 3479758 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16
Waislamu Russia
IQNA - Maonyesho ya 'Ulimwengu wa Qur'ani' yamefunguliwa katika mji mkuu wa Russia siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479729 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
Waislamu
IQNA - Akizungumza siku moja kabla ya uchaguzi wa rais wa Marekani unaofanyika leo, rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alidai Waislamu wanajua urais wa Kamala Harris utakuwa hatari kwao.
Habari ID: 3479705 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Waislamu Kanada
IQNA – Mji wa Montreal utatuma ujumbe usio sahihi ikiwa utatoa bango kukaribisha katika ukumbi wa jiji ambalo linajumuisha mwanamke aliyevaa Hijabu.
Haya ni kwa mujibu wa kundi la kitaifa la kutetea Waislamu wa Kanada.
Habari ID: 3479680 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Mkutano wa Waislamu wa Ghana:
IQNA – Mwambata wa utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ghana amesema kuwa: “kutatua matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu kunahitaji hatua za maana katika suala la umoja wa makundi ya Kiislamu.”
Habari ID: 3479677 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/31
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika mashariki mwa Kosovo kuwaenzi wasichana 44 ambao wamehitimu kutoka kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479672 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
Waislamu Afrika Kusini
IQNA - Msikiti wa Barabara Kuu ya Claremont (CMRM) nchini Afrika Kusini umeadhimisha mwaka wa 170 tokea ujengwe. Maadhimisho hayo yamejumuisha kwa mkusanyiko wa Khatm al-Quran (kusoma Qur'ani Tukufu tokea mwanzo hadi mwisho) na kuenziwa wale wote ambao wamechangia katika historia ya msikiti huo.
Habari ID: 3479671 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3479633 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Ubaguzi Marekani
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limewasilisha malalamiko katika Idara ya Elimu ya Marekani, likitaka uchunguzi ufanyike iwapo Chuo Kikuu cha Michigan kimeshindwa kuwalinda wanafunzi wa Palestina, Waarabu, Waislamu na Waasia Kusini kutokana na kubaguliwa.
Habari ID: 3479574 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
IQNA – Kubomolewa Msikiti wa miaka 1,200 Dargah (makaburi matakatifu ya Waislamu), katika wilaya ya Gir Somnath, Gujarat ya India kumeibua maandamano makubwa.
Habari ID: 3479517 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30