Waislamu Duniani
IQNA - Rais wa Shirikisho la Waislamu wa Korea (KMF) amepewa zawadi ya nakala ya Qur’ani Tukufu yenye tarjuma za Kiingereza na Kikorea.
Habari ID: 3479820 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Qurani Tukufu
IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za Kiislamu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amelaani kuendelea kuharamishwa kwa kuswali Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq (AS) huko Diraz katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3479764 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17
IQNA – Kituo cha Kiislamu kinachojulikana kama Centro Islámico huko Alief kinatazamiwa kuandaa sherehe kubwa ya ufunguzi wikendi hii kwani kituo hicho kinalenga kutoa nafasi kwa jamii kwa Waislamu wanaozungumza Kihispania katija mji wa Houston, Texas nchini Marekani.
Habari ID: 3479758 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16
Waislamu Russia
IQNA - Maonyesho ya 'Ulimwengu wa Qur'ani' yamefunguliwa katika mji mkuu wa Russia siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479729 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10
Waislamu
IQNA - Akizungumza siku moja kabla ya uchaguzi wa rais wa Marekani unaofanyika leo, rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alidai Waislamu wanajua urais wa Kamala Harris utakuwa hatari kwao.
Habari ID: 3479705 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Waislamu Kanada
IQNA – Mji wa Montreal utatuma ujumbe usio sahihi ikiwa utatoa bango kukaribisha katika ukumbi wa jiji ambalo linajumuisha mwanamke aliyevaa Hijabu.
Haya ni kwa mujibu wa kundi la kitaifa la kutetea Waislamu wa Kanada.
Habari ID: 3479680 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01
Mkutano wa Waislamu wa Ghana:
IQNA – Mwambata wa utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ghana amesema kuwa: “kutatua matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu kunahitaji hatua za maana katika suala la umoja wa makundi ya Kiislamu.”
Habari ID: 3479677 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/31
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika mashariki mwa Kosovo kuwaenzi wasichana 44 ambao wamehitimu kutoka kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479672 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
Waislamu Afrika Kusini
IQNA - Msikiti wa Barabara Kuu ya Claremont (CMRM) nchini Afrika Kusini umeadhimisha mwaka wa 170 tokea ujengwe. Maadhimisho hayo yamejumuisha kwa mkusanyiko wa Khatm al-Quran (kusoma Qur'ani Tukufu tokea mwanzo hadi mwisho) na kuenziwa wale wote ambao wamechangia katika historia ya msikiti huo.
Habari ID: 3479671 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30
IQNA-Muungano wa viongozi wa Waislamu wenye asili ya Afrika nchini Marekani wamewataka wapiga kura kumkataa Makamu wa Rais Kamala Harris katika azma yake ya kuwania urais wa Marekani 2024 kutokana na sera yake ya kuunga mkono mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3479633 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Ubaguzi Marekani
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limewasilisha malalamiko katika Idara ya Elimu ya Marekani, likitaka uchunguzi ufanyike iwapo Chuo Kikuu cha Michigan kimeshindwa kuwalinda wanafunzi wa Palestina, Waarabu, Waislamu na Waasia Kusini kutokana na kubaguliwa.
Habari ID: 3479574 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
IQNA – Kubomolewa Msikiti wa miaka 1,200 Dargah (makaburi matakatifu ya Waislamu), katika wilaya ya Gir Somnath, Gujarat ya India kumeibua maandamano makubwa.
Habari ID: 3479517 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30
Umoja wa Kiislamu
IQNA - Rais wa Baraza la Ushauri la Mashirika ya Kiislamu ya Malaysia (MAPIM) alitoa wito kwa nchi za Kiislamu kutuma majeshi yao kukabiliana na ukatili wa utawala wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479487 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui analeta mgawanyiko na mifarakano kati yetu na kubainisha kwamba, Waisraeli milioni 2 au 3 wanawaangamiza Waislamu, wanaua wanawake na watoto, wazee na vijana na wagonjwa, wanapiga mabomu hospitali na misikiti na sisi tumekaa tu na kutazama, kwa sababu hatuna umoja na ndio maana Israel inathubutu kufanya jinai hizi.
Habari ID: 3479453 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19
Uislamu na Jamii
IQNA - Magereza yote nchini Kenya yameagizwa kutenga ardhi kwa ajili ya ujenzi wa misikiti na makanisa.
Habari ID: 3479403 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Maelewano ya kidini
IQNA - Wakati wa safari yake katika nchi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, Papa Francis alitembelea Msikiti wa Istighlal katika mji mkuu wa Indonesia wa Jakarta siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479389 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
Wanariadha Waislamu
IQNA – Mwanamke Muirani Sareh Javanmardi wa Iran ameubusu Msahafu (nakala ya Qur'ani Tukufu) baada ya kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki ya Walemavu 2024 huko Paris, hatua ambayo imewavutia Waislamu duniani kote na kupongezwa na taasisi kuu ya Qur'ani.
Habari ID: 3479365 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Waislamu Uingereza
IQNA - Takriban mashirika 80 ya Kiislamu na viongozi wa jamii za Waislamu wametoa wito kwa serikali ya Uingereza kuchukua hatua madhubuti ili kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3479352 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Arbaeen
IQNA - Mwakilishi wa Jimbo la Utah nchini Marekani Trevor Lee amehimizwa kukutana na Waislamu wa jimbo hilo baada ya video aliyochapisha kusababisha wimbi la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3479351 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30