iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imeishukuru serikali, makundi ya kisiasa, wazee wa koo na viongozi wa makabila ya Iraq, kwa msimamo wao wa kupinga kuanzishwa mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474355    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28