iqna

IQNA

masunni
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

Mwenyekiti wa Maulamaa wa Ahlu Sunna nchini Iraq amesema kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ni wajibu kwa mujibu wa sheria za Kiislamu.
Habari ID: 3310587    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi na Imam wa Sala ya Ijumaa wa Jamii ya Masunni katika mji Sanandaj magharibi mwa Iran.
Habari ID: 1399942    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26