27 rajab

IQNA

IQNA-Kongamano la pili la Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu limefanyika Jumapili 11 Februari jijini Qum, Iran, sambamba na kukaribia tarehe 27 Rajab ambayo inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ukumbi wa Bibi Fatima al‑Ma‘suma (SA.)
Habari ID: 3481791    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/12

Mwezi wa Rajab/ 1
IQNA - Rajab ni mwezi wa saba katika kalenda ya Kiislamu ya hijria qamaria.  Jina la mwezi huu kwa Kiarabu linatokana na mzizi "r j b" ambayo ina maana ya kuheshimiwa na wa ajabu.
Habari ID: 3480012    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06

IQNA - Siku ya 27 ya mwezi wa Hijri wa Rajab iliteuliwa kuwa Siku ya Kitaifa ya Kurani Tukufu nchini Iraq.
Habari ID: 3478283    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Tarehe 27 Rajab 'Mwaka wa 40 wa Ndovu au 'Aamul Fiyl', Muhammad SAW alikuwa ameenda katika milima ya kaskazini mwa Makka kunong'ona na Mola wake.
Habari ID: 3470293    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04