iqna

IQNA

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inalitumia kundi la kigaidi la Daesh kuligawa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3344476    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15

Sayyid Hassan Nasrallah
Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuutisha uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kati ya mafanikio makubywa ya harakati hiyo.
Habari ID: 3336437    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/28

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nchi ambazo ziliwapeleka magaidi nchini Syria ili wakauangushe utawala na muqawama wa nchi hiyo hivi sasa zinaeelekea kushindwa.
Habari ID: 3335403    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/26

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Iran ndio nchi pekee inayounga mkono ukombozi wa ardhi zote za Palestina na Quds Tukufu.
Habari ID: 3326617    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah ameuonya vikali utawala wa Israel kuhusu hujuma dhidi ya Lebanon.
Habari ID: 3311179    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon, Hizbullah, amesema kuibuka Matakfiri ni katika njama za Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3304295    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Ayatullah Rafsanjani
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Saudi Arabia haitofikia malengo yake kwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya wananchi wa Yemen.
Habari ID: 3156548    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16

Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen na kuitaja kuwa jinai huku akiuonya utawala huo kibaraka wa Marekani kuwa utapata hasara kubwa.
Habari ID: 3148169    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati za kundi la kitakfiri na kigaidi la Daesh (ISIS) zinatekeleza kikamilifu malengo ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2862976    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17

Wanachama wasiopungua sita wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon wameuawa, baada ya helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa makombora maeneo ya milima ya Golan ndani ya ardhi ya Syria.
Habari ID: 2728169    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19

Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na makundi ya kigaidi na kitakfiri, ninamtukanisha Mtume Muhammad SAW, Qur'ani na umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2692014    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/10

Mjumbe maalumu wa rais Vladimir Putin wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo na katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 2615883    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/07

Imebainika kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulikuwa umepanga kumuua Kiongozi wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah katika Siku ya Ashura, Novemba 4.
Habari ID: 1473222    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15

Katibu Mkuu wa Harakatiya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, machafuko na migogoro inayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati haifungamani kabisa na Ushia wala Usuni, bali ni mkakati maalumu wa Marekani wenye lengo la kutaka kulidhibiti eneo hili nyeti.
Habari ID: 1470085    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/04

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa watu wanaofikiri kwamba kwa kuanzisha vita vya kisaikolojia na vitisho wataweza kuzuia kufanyika maombolezo ya Aba Abdillah Imam Hussein AS wanajidanganya, kwani vitisho hivyo havitawatenganisha na Imam Hussein AS.
Habari ID: 1463834    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/26

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha kwanza cha Hizbullah ni kukabiliana vikali na makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuzuia kuenea machafuko nchini Lebanon.
Habari ID: 1456409    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/01

Sayyid Nasrallah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon amesema kuwa Marekani haina ustahiki wa kiakhlaqi wa kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi. Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo kupitia hotuba aliyoitoa jana usiku.
Habari ID: 1454360    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/27

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa muqawama umejiandaa kikamilifu dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni na kwamba katika vita vijavyo na jeshi la utawala huo, hakutakuwa na mstari wowote mwekundu na adui huyo.
Habari ID: 1439340    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/15

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushiriki kwa wingi Wasyria katika uchaguzi wa rais nchini humo ni thibitisho kwa ulimwengu kwamba, mashinikizo ya Wamarekani na madola ya Magharibi na Kiarabu dhidi ya Syria, yameshindwa.
Habari ID: 1414962    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/07

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, Iddi au siku kuu ya muqawama na kukombolewa kusini mwa Lebanon ni Iddi ya taifa na umma mzima wa Kiislamu.
Habari ID: 1411327    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26