Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu kuendelea kuunga mkono mapambano ya taifa linalodhulumiwa la Palestina katika makabiliano yake na utawala ghasibu wa Israel unaokalia Quds Tukufu kwa mabavu.
Habari ID: 3470315 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/16
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyopoteza maisha vitani nchini Syria.
Habari ID: 3470310 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/13
SayyidHassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya nchini Lebanon Hizbullah amesema utawala wa Saudi Arabia unatekeleza njama dhidi ya mapambano ya Kiislamu katika eneo.
Habari ID: 3470296 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/06
Shirika la Kutoa Huduma za Satalaiti kwa Televisheni limelaaniwa kwa kuzima televisheni ya Al-Manar iliyokuwa ikirusha matangazo yako kupitia mitambo ya shirika hilo.
Habari ID: 3460128 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/06
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la ugaidi lililofanywa na kundi la kitakfiri la ISIS au Daesh nchini Lebanon siku ya Alhamisi ambapo watu 43 waliuawa na wengine zaidi ya 240 wamejeruhiwa.
Habari ID: 3447662 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/13
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon ya Hizbullah amewapongeza wanaharakati wanaopigania ukombozi wa Palestina kwa kujitolea muhanga na kusimama kidete katika Intifadha ya 3 inayoendelea hivi sasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds Tukufu.
Habari ID: 3388690 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/18
Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya amekosoa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya jinai na ukatili unaoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen na kusema kuwa taifa la Yemen litapambana hadi kupata ushindi.
Habari ID: 3383363 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/09
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia inalazimika kukabidhi masuala ya kusimamia na kuendesha ibada ya Hija kwa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3370688 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/26
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inalitumia kundi la kigaidi la Daesh kuligawa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3344476 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15
Sayyid Hassan Nasrallah
Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuutisha uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kati ya mafanikio makubywa ya harakati hiyo.
Habari ID: 3336437 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/28
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nchi ambazo ziliwapeleka magaidi nchini Syria ili wakauangushe utawala na muqawama wa nchi hiyo hivi sasa zinaeelekea kushindwa.
Habari ID: 3335403 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/26
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Iran ndio nchi pekee inayounga mkono ukombozi wa ardhi zote za Palestina na Quds Tukufu.
Habari ID: 3326617 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11
Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah ameuonya vikali utawala wa Israel kuhusu hujuma dhidi ya Lebanon.
Habari ID: 3311179 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06
Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Lebanon, Hizbullah, amesema kuibuka Matakfiri ni katika njama za Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3304295 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17
Ayatullah Rafsanjani
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Saudi Arabia haitofikia malengo yake kwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya wananchi wa Yemen.
Habari ID: 3156548 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen na kuitaja kuwa jinai huku akiuonya utawala huo kibaraka wa Marekani kuwa utapata hasara kubwa.
Habari ID: 3148169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati za kundi la kitakfiri na kigaidi la Daesh (ISIS) zinatekeleza kikamilifu malengo ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2862976 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Wanachama wasiopungua sita wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah nchini Lebanon wameuawa, baada ya helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa makombora maeneo ya milima ya Golan ndani ya ardhi ya Syria.
Habari ID: 2728169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na makundi ya kigaidi na kitakfiri, ninamtukanisha Mtume Muhammad SAW, Qur'ani na umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2692014 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/10
Mjumbe maalumu wa rais Vladimir Putin wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo na katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 2615883 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/07