TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani vikali hatua ya Marekani kuteka tovuti za vyombo vya habari vinavyounga mkono harakati za muqwama au mapambano ya Kiislamu na Iran katika eneo.
Habari ID: 3474074 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/06
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina wamekutana na kusisitiza kuhusu ulazima wa kuimarisha na kudumisha umoja baina ya Wapalestina.
Habari ID: 3474057 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wakuu wa mrengo wa muqawama wa Palestina na Lebanon wamejadili kipigo cha hivi karibuni cha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, sanjari na kubadilishana mawazo juu ya njia zinazopaswa kufuatwa ili kupata 'ushindi mutlaki' dhidi ya utawala huo haramu.
Habari ID: 3474056 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani kuteka na kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na kieneo na kusema kitendo hicho ni jinai inayothibitisha sera za ukandamizaji zinazfuatwa na Washington.
Habari ID: 3474040 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/25
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3474023 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20
Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, vita vya Saif al Quds (Panga la Quds) vimepelekea kuwepo umoja na mshikamano wa muqawama kote Palestina.
Habari ID: 3473999 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/12
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473993 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/09
TEHRAN (IQNA) – Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali jumla ya kiafya ya kiongozi wa harakati hiyo, Sayyid Hassan Nasrallah ni nzuri.
Habari ID: 3473954 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/28
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa hujuma dhidi ya maeneo matukufu katika mji wa Quds (Jerusalem) inaweza kupelekea kuibuka vita vya kieneo na kuangamizwa utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3473947 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/26
Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.
Habari ID: 3473936 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakaribia mwisho wa uhai wake.
Habari ID: 3473885 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa kulaani hatua za kijinai walizofanyiwa hivi karibuni wananchi wa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na kusisitiza mshikamano wake na taifa tukufu la Palestina.
Habari ID: 3473844 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24
Sheikh Naim Qassim
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuirejesha Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutakuwa ni ushindi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473804 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema marhum Sheikh Ahmad Zein daima alikuwa akitetea mapambano ya Wapalestina na kupinga njama zote zilizolenga matukufu ya taifa hilo.
Habari ID: 3473776 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/01
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka kutocheza na moto huku akisisitiza kuwa hujuma yoyote ile ya Israel dhidi ya Lebanon itakabiliwa na jibu kali kutoka Hizbullah.
Habari ID: 3473657 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17
Sheikh Naeem Qassem
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Naeem Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha serikali ya Marekani ni kulinda maslahi ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Habari ID: 3473622 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya Al Manar ya Lebanon Ijumaa usiku ilirusha hewani taswira za mkutano wa mwisho baina ya kamanda wa ngazi za juu wa Iran, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3473562 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/16
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio ya hivi karibuni katika Bunge la Congress nchini Marekani yamepelekea Wamarekani wafahamu hatari ya rais wa nchi hiyo anayeondoka Donald Trump.
Habari ID: 3473538 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Shahidi Qassem Soleimani hakuwa ni mtetezi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia pekee bali aliwatetea Waislamu wote na hata wasiokuwa Waislamu wakiwemo Wakristo na alijitolea muhanga kwa ajili yao.
Habari ID: 3473521 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/03