Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa hujuma dhidi ya maeneo matukufu katika mji wa Quds (Jerusalem) inaweza kupelekea kuibuka vita vya kieneo na kuangamizwa utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3473947 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/26
Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.
Habari ID: 3473936 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakaribia mwisho wa uhai wake.
Habari ID: 3473885 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa kulaani hatua za kijinai walizofanyiwa hivi karibuni wananchi wa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na kusisitiza mshikamano wake na taifa tukufu la Palestina.
Habari ID: 3473844 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24
Sheikh Naim Qassim
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuirejesha Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutakuwa ni ushindi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473804 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema marhum Sheikh Ahmad Zein daima alikuwa akitetea mapambano ya Wapalestina na kupinga njama zote zilizolenga matukufu ya taifa hilo.
Habari ID: 3473776 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/01
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka kutocheza na moto huku akisisitiza kuwa hujuma yoyote ile ya Israel dhidi ya Lebanon itakabiliwa na jibu kali kutoka Hizbullah.
Habari ID: 3473657 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17
Sheikh Naeem Qassem
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Naeem Qassem, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kipaumbele cha serikali ya Marekani ni kulinda maslahi ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Habari ID: 3473622 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya Al Manar ya Lebanon Ijumaa usiku ilirusha hewani taswira za mkutano wa mwisho baina ya kamanda wa ngazi za juu wa Iran, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3473562 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/16
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio ya hivi karibuni katika Bunge la Congress nchini Marekani yamepelekea Wamarekani wafahamu hatari ya rais wa nchi hiyo anayeondoka Donald Trump.
Habari ID: 3473538 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Shahidi Qassem Soleimani hakuwa ni mtetezi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia pekee bali aliwatetea Waislamu wote na hata wasiokuwa Waislamu wakiwemo Wakristo na alijitolea muhanga kwa ajili yao.
Habari ID: 3473521 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/03
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, kusudio la kuwaua viongozi na makamanda wa harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu ni lengo la pamoja la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akabainisha kwamba, zimetolewa indhari na masisitizo na duru tofauti kuhusu uwezekano wa yeye kuuawa katika kipindi cha karibuni.
Habari ID: 3473500 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/28
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia waziri mkuu wa zamani wa Sudan Sadiq al-Mahdi na kumtaja kuwa muungaji mkono mkubwa wa Palestina aliyepinga uanzishwaji uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473399 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27
TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473353 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi Ufaransa na wakati huo huo pia amelaani matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473313 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema magaidi wa Marekani walilenga kuhusisha kundi la kigaidi la ISIS walipowaua shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (Hashd al Shaabi).
Habari ID: 3473216 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/30
TEHRAN (IQNA) - Ismail HaniYa, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameonana ana kwa ana na Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kuzungumza naye mambo muhimu yanayohusiana na kambi ya muqawama.
Habari ID: 3473144 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah amesema balozi za kigeni mjini Beirut zinahusika katika njama dhidi ya harakati hiyo.
Habari ID: 3473118 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/30
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa ikikanusha madai ya vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu oparesheni ya kujipenyeza wapiganaji wake Israel.
Habari ID: 3473008 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/28