iqna

IQNA

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu katika maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.
Habari ID: 3472123    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10

Baada ya onyo kali la Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeangamiza moja ya zana za kijeshi za Israel katika barabara ya al Thakna katika mji wa mpakani wa Israel wa Avivim na kumuua kamanda wa kikosi kimoja wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika oparesheni iliyotekelezwa na harakati ya Hizbullah.
Habari ID: 3472109    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/02

TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa vita dhidi ya Iran ni sawa na vita dhidi ya mhimili mzima wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kwa msingi huo amesisitiza kuwa: "Vita dhidi ya Iran vitawasha moto katika eneo lote ( Asia Magharibi)."
Habari ID: 3472087    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/17

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza suala la kuimarika kwa nguvu na uwezo wa kujihami na kufanya mashambulizi wa wanamapambano katika kipindi cha miaka 13 iliyopita.
Habari ID: 3472042    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/14

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani mpango wa Rais Trump wa Marekani wa kile anachodai kuwa 'amani Mashariki ya Kati'.
Habari ID: 3471980    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/01

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03

Kiongozi wa Hizbullah Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni miliki ya utawala bandia wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.
Habari ID: 3471890    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/27

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, Marekani ilikuwa na njama kubwa tofauti kwa ajili ya kusambaratisha harakati hiyo mwaka 2006, lakini uimara wake umeweza kusambaratisha njama zote hizo.
Habari ID: 3471868    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/09

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatumia sera ya kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran kwa shabaha ya kutaka kuuza silaha za mabilioni ya dola kwa nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3471706    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/13

Kiongozi wa Hizbullah katika Majlis ya Muharram
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo inayorefusha uwepo wa baadhi ya mabaki ya magaidi wa ISIS au Daesh katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mashariki mwa Syria.
Habari ID: 3471680    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameipongeza Malaysia kwa kuondoa askari wake katika muungano wa kijeshi unoongozwa na Saudia ambao umekuwa ukiwashambulia wananchi wasio na ulinzi Yemen tokea mwaka 2015.
Habari ID: 3471577    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/30

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wasaliti watakaoikabidhi nchi kwa Marekani.
Habari ID: 3471403    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/25

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema kujiuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo Saad Hariri kumetokana na kulazimishwa na utawala wa Saudi Arabia na kubainisha kwamba: muamala wa udhalilishaji aliofanyiwa Waziri Mkuu wa Lebanon na utawala wa Aal Saud ni sawa na kuwadhalilisha Walebanon wote.
Habari ID: 3471257    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/11

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amesema, kujiuzulu Saad Hariri kama Waziri Mkuu wa Lebanon ni uamuzi ambao ulilazimishwa na utawala wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471250    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/06

TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon inaandaa awamu ya 20 ya mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471236    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/28

Sayyed Hassan Nasrallah:
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh au ISIS huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo vituo vyake vya kijeshi vilivyo Syria kinyume cha sheria.
Habari ID: 3471211    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10

Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu harakati ya Hizbullah cha nchini Lebanon amesema ushindi mwingine mkubwa umekaribia nchini humo kwani katika kipindi kifupi kijacho, magaidi wote wa ISIS au Daesh watafurushwa katika mpaka mzima wa Lebanon na Syria na usalama kurejea eneo hilo.
Habari ID: 3471141    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/25

IQNA (TEHRAN)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la ISIS ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.’
Habari ID: 3471129    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/19

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, kushindwa na kufedheheka vitaukumba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita yoyote ile itakayotokea, zaidi ya kushindwa kulikoukuta katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.
Habari ID: 3471122    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/14

IQNA: Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Palestina wakati nchi zingine zimeegemea upande wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3470861    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/21