iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema magaidi wa Marekani walilenga kuhusisha kundi la kigaidi la ISIS walipowaua shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (Hashd al Shaabi).
Habari ID: 3473216    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/30

TEHRAN (IQNA) - Ismail HaniYa, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameonana ana kwa ana na Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kuzungumza naye mambo muhimu yanayohusiana na kambi ya muqawama.
Habari ID: 3473144    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah amesema balozi za kigeni mjini Beirut zinahusika katika njama dhidi ya harakati hiyo.
Habari ID: 3473118    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/30

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa ikikanusha madai ya vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu oparesheni ya kujipenyeza wapiganaji wake Israel.
Habari ID: 3473008    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/28

Sheikh Mohammad Yazbek
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo inaweza kupambana na kuvunja njama zote za maadui kama tulivyovunja njama zao kijeshi huko nyuma kwa kujiamini na kuwa macho.
Habari ID: 3472956    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya gazeti moja linalomilikiwa na Saudia kuchora katuni inayomvunjia heshima kiongozi wa juu wa kidini wa nchini Iraq Ayatullah Sayyed Ali Al-Sistani.
Habari ID: 3472931    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa machafuko yanayoshuhudiwa sasa nchini humo ni njama iliyopangwa na Marekani.
Habari ID: 3472874    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/17

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina Ramadan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472849    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kaitbu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon uwepo wa majeshi ya Marekani katika eneo umetokana na kuimarika nguvu za harakati za mapambano ya Kiislamu au muqawama.
Habari ID: 3472806    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna shaka kuwa utawala wa Israel utasambaratika na amesisitiza kuwa, vita asili vitakuwa na Marekani.
Habari ID: 3472793    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya muqawama (mapambano) ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na ushindi wa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472789    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hatua ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo kuwa eti ni kundi la kigaidi, na amesisitiza kuwa serikali ya Ujerumani imeshindwa kuwasilisha ushahidi wa kuthibitisha madai yake.
Habari ID: 3472735    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05

TEHRAN (IQNA) – Ujerumani imeendelea kukosolewa kutokana na hatua yake ya kuipiga marufuku Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3472727    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua ya chuki ya serikali ya Ujerumani ya kuiita Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi na kusema kwamba, uamuzi huo unahudumia malengo ya utawala haramu wa Israel na Marekani.
Habari ID: 3472721    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01

Sayyed Hassan Nasrallah kwa masaba wa Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema, hivi sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kuna utawala ghasibu ambao una hofu una hofu kuwa uhai wake hautazidi miaka 80.
Habari ID: 3472644    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbulah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah anasema athari za ugonjwa wa COVID-19 (corona) zinaweza kupita zile za Vita vya Kwanza na vya Pili vya Dunia na kuibua mfumo mpya duniani.
Habari ID: 3472618    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/30

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon iko mstari wa mbele kukabiliana na ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472610    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/28

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, maadui wanafanya kila njia ili kuyumbisha imani iliyopo baina ya Muqawama na wananchi, ambao ndio watoaji msukumo halisi kwa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472586    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/21

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema katika vita dhidi ya kirusi cha corona, muongo mkubwa zaidi ni rais Donald Trump wa Marekani na timu yake.
Habari ID: 3472562    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/14