iqna

IQNA

Sheikh Mohammad Yazbek
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo inaweza kupambana na kuvunja njama zote za maadui kama tulivyovunja njama zao kijeshi huko nyuma kwa kujiamini na kuwa macho.
Habari ID: 3472956    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya gazeti moja linalomilikiwa na Saudia kuchora katuni inayomvunjia heshima kiongozi wa juu wa kidini wa nchini Iraq Ayatullah Sayyed Ali Al-Sistani.
Habari ID: 3472931    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa machafuko yanayoshuhudiwa sasa nchini humo ni njama iliyopangwa na Marekani.
Habari ID: 3472874    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/17

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina Ramadan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472849    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kaitbu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon uwepo wa majeshi ya Marekani katika eneo umetokana na kuimarika nguvu za harakati za mapambano ya Kiislamu au muqawama.
Habari ID: 3472806    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna shaka kuwa utawala wa Israel utasambaratika na amesisitiza kuwa, vita asili vitakuwa na Marekani.
Habari ID: 3472793    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya muqawama (mapambano) ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na ushindi wa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472789    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hatua ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo kuwa eti ni kundi la kigaidi, na amesisitiza kuwa serikali ya Ujerumani imeshindwa kuwasilisha ushahidi wa kuthibitisha madai yake.
Habari ID: 3472735    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05

TEHRAN (IQNA) – Ujerumani imeendelea kukosolewa kutokana na hatua yake ya kuipiga marufuku Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3472727    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua ya chuki ya serikali ya Ujerumani ya kuiita Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi na kusema kwamba, uamuzi huo unahudumia malengo ya utawala haramu wa Israel na Marekani.
Habari ID: 3472721    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01

Sayyed Hassan Nasrallah kwa masaba wa Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema, hivi sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kuna utawala ghasibu ambao una hofu una hofu kuwa uhai wake hautazidi miaka 80.
Habari ID: 3472644    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbulah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah anasema athari za ugonjwa wa COVID-19 (corona) zinaweza kupita zile za Vita vya Kwanza na vya Pili vya Dunia na kuibua mfumo mpya duniani.
Habari ID: 3472618    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/30

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon iko mstari wa mbele kukabiliana na ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472610    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/28

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, maadui wanafanya kila njia ili kuyumbisha imani iliyopo baina ya Muqawama na wananchi, ambao ndio watoaji msukumo halisi kwa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472586    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/21

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema katika vita dhidi ya kirusi cha corona, muongo mkubwa zaidi ni rais Donald Trump wa Marekani na timu yake.
Habari ID: 3472562    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/14

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.
Habari ID: 3472479    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inafanya juu chini kutaka kuonesha kuwa Hizbullah ni tishio kwa Lebanon, na kwamba njama zote hizo zinafanyika kwa ajili ya kupigania maslahi yake na ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3472275    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/14

Meja Jenerali Qassem Suleimani
TEHRAN (IQNA) - Meja Jenerali Qassem Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amefanya mahojiano kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 na kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu vita vya siku 33 vya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472157    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/03

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa msimamo wa baadhi ya nchi na asasi kuhusu shambulizi la ulipizaji kisasi la Jeshi la Yemen dhidi ya vituo vya kusafisha amfut aya petroli nchini Saudi Arabia na kusema, misimamo hiyo inaonyesha kuwa mafuta ya petroli yana thamani zaidi ya damu ya mwanadamu.
Habari ID: 3472141    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/21