hizbullah - Ukurasa 7

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Nasrallah ameonya kuwa vita vyovyote dhidi ya Iran vitasababisha mlipuko mkubwa katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3474909    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09

Sayyid Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuliweka jina la Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi hakutaathiri hata chembe azma na irada ya muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474609    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27

TEHRAN (IQNA)- Australia imelaaniwa vikali kufuatia hatua yake ya kutangaza chama cha Hizbullah cha Lebanon kuwa eti ni harakati ya kigaidi.
Habari ID: 3474599    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema kuwa, mazoezi kijeshi yanayofanywa mara kwa mara ya na utawala haramu wa Israel ni kielelezo cha wasiwasi na woga wa utawala huo mkabala wa Lebanon
Habari ID: 3474544    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Katika kulalamikia matamshi yaliyotolewa siku ya Ijumaa na George Kurdahi , Waziri wa Habari wa Lebanon aliyekosoa uvamizi wa Saudi Arabia na Imarati huko Yemen na kuutaja kuwa usio na maana, Saudia imemwita nyumbani balozi wake mjini Beirut na kumtaka balozi wa Lebanon pia aondoke nchini humo mara moja.
Habari ID: 3474498    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01

Rais Vladimir Puton wa Russia amesema harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ina nafasi muhimu katika uga wa kisiasa nchini Lebanon.
Habari ID: 3474455    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema chama cha Al-Quwwatul-Lubnaniyyah (Lebanese Forces) kinalenga kuibua vita vya ndani nchini humo.
Habari ID: 3474442    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kuhusu matukio ya karibuni kabisa ya kisiasa ya nchi hiyo na eneo.
Habari ID: 3474395    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474387    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza kitendo cha kishujaa cha Wapalestina sita ambapo walitoroka jela lenye ulinzi mkali la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474270    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu kwa mnasaba wa Siku ya Ashura na kusema, 'kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kipaumbele cha harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu)"
Habari ID: 3474206    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/19

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Lebanon Hezbullah anasema kushindwa kwa Marekani nchini Afghanistan kunaonyesha ujinga wa wa wakuu wa Washington na kukosekana mahesabu katika sera zao kigeni.
Habari ID: 3474201    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, kwa sasa harakati ya Hizbullah ni nembo kubwa ya muqawama na ina taathira ya kustaajabisha kitaifa na pia kikanda.
Habari ID: 3474188    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/14

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama haitaki vita, lakini pia haigopi vita kwa kuwa ina uhakika wa kuibuka mshindi iwapo vitaibuka.
Habari ID: 3474170    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/08

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema wapiganaji wake wa kituo cha Shahidi Ali Muhsin Kamel na Shahidi Muhammad Qassim Tahal wamejibu mashambulizi ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon kwa kuvurumisha maroketi kadhaa dhidi ya vituo vya kijeshi vya utawala huo.
Habari ID: 3474165    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuhusu njama za maadui za kuitumbukiza nchi hiyo kwenye lindi la vita vya ndani vya wenyewe kwa wenyewe.
Habari ID: 3474157    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/04

TEHRAN (IQNA)-Wakati Lebanon inapambana kupitia mkwamo wake wa kisiasa uliochukua muda mrefu, Hizbullah inataka kuundwa kwa baraza la mawaziri ambalo linahudumia wananchi badala ya wanasiasa wake.
Habari ID: 3474127    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/25

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, shambulio la karibuni la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria ni uchokozi na uvamizi wa waziwazi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo na ardhi ya Lebanon.
Habari ID: 3474121    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametoa wito kwa Waislamu kufuata mafundisho ya Qur’ani Tukufu ili kuweza kukabiliana na madola ya kibeberu.
Habari ID: 3474108    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17