iqna

IQNA

Fakhrizadeh
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Idara ya Mahakama ya Iran amesisitiza kuwa, mauaji ya kigaidi ya wanasayansi wa nyuklia ni jinai dhidi ya binadamu na ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3474614    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28