iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: amani endelevu na ya kudumu itaweza kupatikana tu nchini Afghanistan ikiwa itaundwa serikali shirikishi na itakayojumuisha pande zote.
Habari ID: 3474694    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19