iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Abdullah Hammoud ameapishwa kama meya wa kwanza Muislamu katika mji wa Dearborn jimboni Michigan ambapo amekula kiapo akiwa amewekelea mkono wake juu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474813    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16