iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel kulaani safari ya siku mbili ya waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3474936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16