Watetezi wa Qur'ani
MOSCOW (IQNA) – Mkutano wa shakhsia wa Kiislamu na Kikristo nchini Urusi (Russia) ulifanyika mjini Moscow kulaani vitendo vya hivi majuzi vya kufuru na kuilenga Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3477374 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /22
TEHRAN (IQNA) – Ignaty Krachkovsky alikuwa Mrusi mtafiti wa masuala ya mashariki na ya lugha Kiarabu ambaye anajulikana kwa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3477031 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22
Uislamu nchini Urusi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika eneo la Crimea nchini Urusi (Russia) utazinduliwa katika mji wa Simferopol mwaka ujao, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476327 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yalizinduliwa Ijumaa katika mji mkuu huo wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3476115 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19
TEHRAN (IQNA)- Takriban misikiti 7,500, imefunguliwa katika Shirikisho la Russia au Urusi katika kipindi cha miaka 33 iliyopita.
Habari ID: 3475336 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04