urusi

IQNA

IQNA – Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, hakuwa tu mwanasiasa na mtaalamu mashuhuri, bali pia alikuwa kielelezo cha kanuni ya kiroho, kulingana na mwanafalsafa maarufu wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3482432   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/03

IQNA – Suleiman Ashirlayev, msanii wa khatt kutoka Jamhuri ya Dagestan katika Shirikisho la Urusi, ameandika Qur’ani Tukufu nzima kwa maandishi ya Thuluth katika tajiriba aliyoiita ya kiroho.
Habari ID: 3482344   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09

IQNA – Athari ya Qur’an Tukufu haijabakia kwa washairi Waarabu na Waislamu pekee, bali imevuka mipaka na kuwagusa pia washairi na waandishi mashuhuri wa tamaduni nyingine.
Habari ID: 3481698   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/22

IQNA – Mtu mmoja nchini Urusi (Russia) ambaye alikuwa amepewa kifungo cha jela kwa kuvunjia hesima Qur'ani Tukufu sasa anakabiliwa na shtaka jipya.
Habari ID: 3479535   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

Watetezi wa Qur'ani
MOSCOW (IQNA) – Mkutano wa shakhsia wa Kiislamu na Kikristo nchini Urusi (Russia) ulifanyika mjini Moscow kulaani vitendo vya hivi majuzi vya kufuru na kuilenga Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
Habari ID: 3477374   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /22
TEHRAN (IQNA) – Ignaty Krachkovsky alikuwa Mrusi mtafiti wa masuala ya mashariki na ya lugha Kiarabu ambaye anajulikana kwa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3477031   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Uislamu nchini Urusi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika eneo la Crimea nchini Urusi (Russia) utazinduliwa katika mji wa Simferopol mwaka ujao, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476327   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 20 Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yalizinduliwa Ijumaa katika mji mkuu huo wa Urusi (Russia).
Habari ID: 3476115   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19

TEHRAN (IQNA)- Takriban misikiti 7,500, imefunguliwa katika Shirikisho la Russia au Urusi katika kipindi cha miaka 33 iliyopita.
Habari ID: 3475336   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04