iqna

IQNA

waisraeli
Ripoti yafichua
TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Waisraeli kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina
Habari ID: 3475415    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

Baba ya mtoto Mpalestina wa miezi 18 aliyeuwawa hivi karibuni na masetla Waisraeli wenye misimamo mikali amefariki dunia kutokana na majeraha ya moto aliyopata katika tukio hilo.
Habari ID: 3340027    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08