Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)-Jaji wa kwanza Mwislamu mwenye kuvaa Hijabu katika historia ya Marekani, ambaye alianza kazi yake miezi miwili iliyopita katika hafla ya kiapo kwa Qur'ani Tukufu, anasema kwamba ana nia ya kutetea haki za Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3475697 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29
Viongozi wa dini mbalimbali wamehudhuria katika msikiti wa Tempe katika jimbo la Arizona nchini Marekani na kulaani vikali hatua ya kundi la kibaguzi na linalopiga vita Uislamu ya kuvunjia heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
Habari ID: 3196196 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/23