mashindano ya qurani - Ukurasa 35

IQNA

Qarii wa Muirani Medhi Gholamnejad Jumamosi alionyesha ustadi wake katika kusoma Qur'ani Tukufu katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470379    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/12