iqna

IQNA

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Kulingana na maafisa wa Msikiti wa Cambridge nchini Uingereza watu 86 wametamka shahada mbili (au tamko la imani ya Kiislamu) katika kituo hicho tangu Januari.
Habari ID: 3476033    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04