cambridge

IQNA

IQNA – Mfalme Charles III wa Uingereza ametembelea Msikiti Mkuu wa Cambridge (Cambridge Central Mosque), ambao ndio msikiti wa kwanza barani Ulaya uliojengwa kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira (eco-mosque).
Habari ID: 3482518   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/21

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Kulingana na maafisa wa Msikiti wa Cambridge nchini Uingereza watu 86 wametamka shahada mbili (au tamko la imani ya Kiislamu) katika kituo hicho tangu Januari.
Habari ID: 3476033   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04