iqna

IQNA

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yamefanyika katika kila pembe ya Iran ya Kiislamu kwa kauli mbiu kuu "Palestina mhimili wa umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu; Quds inakaribia kukombolewa".
Habari ID: 3476864    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14

Ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Quds
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekumbusha wajibu wa kisheria wa mashirika na taasisi za kimataifa na za kutetea haki za binadamu wa kuunga mkono haki za watu walio chini ya utawala ghasibu huko Palestina, na kutoa wito wa kukomeshwa uvamizi huo na kusimamisha jinai za Wazayuni.
Habari ID: 3476862    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema: taifa adhimu la Iran litatangaza kwa mara nyingine tena kwamba litabaki kuwa thabiti katika malengo ya Uislamu hadi itakapokombolewa Quds kikamilifu, kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3476859    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni kumbukumbu ya Imam Khomeini (MA) na nembo ya kuwa hai tafa la Kiislamu la Iran.
Habari ID: 3476829    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran amesema nara na kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa Quds mwaka huu ni : "Palestina ni mhimili wa Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na Quds (Jerusalem) Inakaribia Kukombolewa."
Habari ID: 3476811    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema, Palestina nzima imekuwa uwanja wa mapambano, na kwamba mipango yote ya suluhu na kufanya mapatano na adui Mzayuni imebatilishwa.
Habari ID: 3475185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)-Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa wananchi wa Palestina wamesimama kidete na wameazimia kuikomboa Palestina yote kutoka Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan.
Habari ID: 3475184    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imetangaza kuwa njia ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni ni kuimarisha safu ya Jihadi na mapambano mataifa sambamba na nchi za Kiislamu kutangaza uungaji mkono wao wa pande zote kwa wananchi waliodhulumika wa Palestina.
Habari ID: 3475182    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maadhimisho ya Siku ya Quds ni fursa ya kutangaza kuwa pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina ambapo licha ya taifa hilo kudhulumiwa lakini limepata nguvu na kuwa imara.
Habari ID: 3475173    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Hii leo, hatima ya Palestina itaamuliwa kwa matakwa na irada ya Mujahidina.
Habari ID: 3475159    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/23

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa jijini Tehran amesisitizia wajibu wa kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, maandamano hayo yanamtia kiwewe adui.
Habari ID: 3475153    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/22

TEHRAN (IQNA)- Sheikh mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kulaani ‘ugaidi wa Kizayuni’ baada ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwahujumu Wapalestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds.
Habari ID: 3473892    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, harakati ya kuporomoka na kutoweka utawala wa Kizayuni imeanza na haitasimama; na akawahutubu Mujahidina wa Palestina kwa kuwaambia: "Endelezeni mapambano halali dhidi ya utawala ghasibu ili ulazimike kukubali kura ya maoni."
Habari ID: 3473886    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07

TEHRAN (IQNA)- Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 inaadhimishwa huku kukiwa kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za hararkati za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.
Habari ID: 3473882    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06

TEHRAN (IQNA)- , Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa Ijumaa na kusema: "Wiki hii tuna Siku ya Quds. Hii ni siku ambayo ni fakhari kwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kati ya wosia wa Imam Khomeini (MA).
Habari ID: 3473880    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05

TEHRAN (IQNA)- Mwaka huu hakutafanyika maandamano au mijumuiko ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473872    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/03

TEHRAN (IQNA)- Nara ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka hii itakuwa ni “Tunakaribia Quds Zaidi ya Wakato Wowote Mwingine”.
Habari ID: 3473833    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

Taarifa ya Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina (KPSM) imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa Wapalestina wanakabiliana na virusi viwili hivi sasa.
Habari ID: 3472792    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya muqawama (mapambano) ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na ushindi wa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472789    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

Mkuu wa Kamandi ya Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamandi ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Intifadha ya taifa la Palestina imeshavuka mipaka ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia kwenye awamu itakayoamua hatima yake na akasisitiza kwamba: Minong'ono ya kufikia tamati Israel ghasibu inasikika kwenye mitaa ya Tel Aviv.
Habari ID: 3472784    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/20