Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 10
TEHRAN (IQNA) - Kuna masuala mengi yanayohusiana na sayansi yaliyotajwa ndani ya Qur'an Tukufu ambayo yanachukuliwa kuwa muujiza wa Kitabu Kitukufu kwa sababu yalikuwa hayajulikani kwa wanadamu kwa muda mrefu na wanasayansi waliyagundua karne nyingi baadaye.
Habari ID: 3476318 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28
Mwanafalaki (mwanaastronomia) mashuhuri wa Iran amesema kuwa kuna aya 750 katika Qur’ani Tukufu kuhusu sayansi asilia na sayansi jarabati kwa lengo la kuwakumbusha watu masuala kuhusu maudhui kama vile maumbile ya mbingu na ardhi, milima, mimea n.k.
Habari ID: 3340977 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/10