akademia ya

IQNA

IQNA – Kadri maandalizi ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanavyoendelea, tarehe ya mwisho kwa washiriki wa sehemu ya Teknolojia na Ubunifu Kuhusu Qur’ani inakaribia.
Habari ID: 3480534   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti ya Iran (ACECR) imelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, na kubainisha kwamba vitendo hivyo viovu vinaonyesha "chuki kubwa" ya maadui dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3476479   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28