iqna

IQNA

Hali nchini Syria
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe wa maspika na wabunge wa mabunge ya nchi za Kiarabu uliwasili Damascus, mji mkuu wa Syria siku ya Jumapili kuonyesha mshikamano na nchi hiyo kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya maelfu ya watu nchini Syria na Uturuki.
Habari ID: 3476631    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27