iqna

IQNA

IQNA - Baraza la Mkoa wa Karbala lilitangaza kuwa takriban mazuari milioni 6 walishiriki katika ibada za maombolezo katika siku ya Ashura katika mji mtakatifu wa Karbala siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479145    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/19

Ujumbe wa Nairuzi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa wananchi wa Iran kwa mnasaba wa kuingia mwaka mpya wa 1393 Hijria Shamsia na kuuita mwaka huo kwa jina la mwaka wa "Uchumi na Utamaduni wenye Azma ya Kitaifa na Uongozi wa Kijihadi."
Habari ID: 1389135    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/21