saudi arabia - Ukurasa 5

IQNA

Siasa za Saudia
TEHRAN (IQNA)- Taarifa zinasema mhubiri mmoja mashuhuri nchini Saudi Arabia amehukumiwa kunyongwa katika kile kinachoongokana ni ukandamizaji dhidi ya wanaopinga sera za Ufalme huo.
Habari ID: 3476408    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/13
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mustafa Muslim (1940-2021) alikuwa mtu mashuhuri katika uwanja wa sayansi za Qur’ani ambaye aliandika vitabu 90, ikiwa ni pamoja na ensaiklopidia za sayansi za Qur’ani.
Habari ID: 3476346    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02

Mafuriko Saudia
TEHRAN (IQNA)- Mafuriko makubwa yalikumba mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia siku ya Ijumaa asubuhi kufuatia mvua kubwa iliyonyesha usiku, kuharibu magari na mali katika mji huo.
Habari ID: 3476292    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe kutoka Oman uko katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, kufanya mazungumzo na wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah kuhusu kurefusha usitishaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa nchini Yemen.
Habari ID: 3476286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz huko Riyadh, Saudi Arabia, imeandaa maonyesho ya nakala adimu za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476272    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudi Arabia wametangaza kwamba umri wa chini kabisa wa kutoa kibali rasmi cha Umrah ni miaka mitano.
Habari ID: 3476232    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Jinai za Saudi Arabia
TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudia inatumia vibaya kimya cha madola makubwa na jamii ya kimataifa, kuzidisha kukata vichwa watu kwa visingizio tofauti kiasi kwamba, idadi ya watu waliotekelezewa adhabu ya kifo na ukoo wa Aal Saud mwaka huu, tayari hivi sasa ni maradufu ya waliokatwa vichwa mwaka jana nchini humo.
Habari ID: 3476122    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/20

Hali ya mambo Saudia
TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman hatahudhuria mkutano ujao wa kilele wa viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu utakaofanyika nchini Algeria kwa kufuata kile ambacho kimetajwa ni 'ushauri wa madaktari wa kuepuka kusafiri'. Hayo yameelezwa na ofisi ya rais wa Algeria.
Habari ID: 3475978    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

Jinai za Saudia
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imemfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko Tunisia.
Habari ID: 3475975    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja katika mkoa wa Ha'il nchini Saudi Arabia ulikuwa mwenyeji wa hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani kwa watu wenye ulemavu.
Habari ID: 3475972    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/22

Ukandamizaji Saudia
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Ufalme Saudi Arabia imemhukumu mmoja wa wasomaji Qur'ani maarufu wa ufalme huo na mwanaharakati wa kisiasa kifungo cha miaka 12 jela.
Habari ID: 3475958    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

Maoneyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyoonyeshwa katika maonyesho ya kimataifa ya vitabu yanayoendelea huko Riyadh, Saudi Arabia.
Habari ID: 3475915    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Hija ndogo ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Mamlaka ya Saudia inasema visa ya Hija Ndogo ya Umrah imeongezwa kutoka mwezi mmoja hadi mitatu kwa mataifa yote.
Habari ID: 3475875    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdul Aziz huko Makka, Saudi Arabia wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3475843    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Jinai za Saudia nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso limesema katika ripoti yake kwamba, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ndio chimbuko la ukame na njaa inayowakabili wananchi wa Yemen kutokana na kuiziingira nchi nchi hiyo.
Habari ID: 3475836    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Hali Saudia
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya 16 za Kiislamu duniani zimetoa tamko la kulaani hukumu kali za vifungo jela dhidi ya walinganiaji wa Kiislamu wa Saudi Arabia zilizotolewa hivi karibuni na mamlaka ya mahakama ya Saudia.
Habari ID: 3475785    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya awali ya Duru ya 42 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani imeanza nchini Saudi Arabia katika mji wa Makka.
Habari ID: 3475767    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/11

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama (mapambano) ya Ansarullah ya Yemen ameushauri muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kuchukua fursa ya usitishaji vita ili kukomesha uvamizi wake dhidi ya Yemen sambamba na kusitisha mzingiro wake dhidi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475675    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Haraakti za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanayohusiana na sekta ya uchapishaji Qur’ani Tukufu yamefanyika katika mji wa Asir nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475614    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12