saudi arabia - Ukurasa 5

IQNA

Hija mwaka 1444
Maeneo matakatifu nchini Saudi Arabia yanatayarishwa kupokea Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija kutoka kila kona ya dunia.
Habari ID: 3477125   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

Hija 1444 H
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetoa taarifa ya miongozo jumla kwa Mahujaji wa mwaka huu wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa lengo la kurahisisha ibada hiyo.
Habari ID: 3477054   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Hija
TEHRAN (IQNA) – Kikao kimefanyika katika mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia ambapo maafisa wametathmini maandalizi ya msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3476988   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 43 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia yatafanyika katika mji mtakatifu wa Makka msimu huu wa joto.
Habari ID: 3476955   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameashiria kukasirishwa utawala wa Kizayuni kufuatia kuhuishwa uhusiano kati ya Iran na Saudia na akasema: Maadui khususan utawala wa Israel wamekasirishwa na hatua hii na sababu yake ni njama wanazofanya za kueneza migawanyiko.
Habari ID: 3476951   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/03

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Tangazo la Hija la Saudi Arabia
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hijja na Umra Saudi Arabia imesema kuwa tarehe ya mwisho ya Mahujaji kupata chanjo ni siku 10 kabla ya msimu wa Hija.
Habari ID: 3476922   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Maafa
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya watu wamepoteza maisha na mamia kujeruhiwa huko Yemen katika mkanyagano uliotokea leo katika zoezi la ugavi wa msaada wa hisani.
Habari ID: 3476895   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Amani
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Ansarullah ya Yemen na Baraza la la Urais linaloungwa mkono na Saudi Arabia (PLC) wamewaachilia huru wafungwa wengi katika mabadilishano ya mwisho ya wafungwa 900 na hivyo kuongeza matarajio ya amani ya nchi nzima katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476883   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya waumini milioni 22 walitembelea eneo takatifu zaidi katika Uislamu, Msikiti Mkuu Makka (Masjid al-Haram) katika siku 20 za kwanza za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3476866   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10

Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Vita vya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imeripotiwa kulijulisha linalojiita baraza la uongozi wa rais wa Yemen juu ya uamuzi wa kusitisha vita haribifu nchini Yemen baada ya miaka minane ya uchokozi.
Habari ID: 3476834   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran ameibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476831   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Ajali
TEHRAN (IQNA) – Takriban waumini 20 waliokuwa katika hija ndogo ya Umrah wamepoteza Maisha na wengine 29 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa limewabeba lilipopinduka na kuwaka moto katika eneo la Aqaba Shaar kusini mwa mkoa wa Asir, Saudi Arabia Jumatatu alasiri.
Habari ID: 3476774   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Saudi Arabia imetangaza kuzndia kampeni mpya ya kupunguza kiwango cha israfu ya chakula ambayo imetajwa kuwa tatizo sugu katika nchi hiyo tajiri ya Kiarabu.
Habari ID: 3476769   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya MBC ya Saudi Arabia imeanza kutangaza mfululizo wa pili wa mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani Tukufu na Adhana.
Habari ID: 3476756   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25

Sera za Kigeni Iran
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa, atakutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia mnamo siku chache zijazo na akasema: "tulikubaliana kuwa jumbe za kiufundi za pande zote mbili zitembelee balozi na balozi ndogo na kufanya maandalizi ya kivitendo ya kufunguliwa tena balozi hizo."
Habari ID: 3476727   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa Saudi Arabia wanasema zaidi ya lita milioni 40 za maji ya Zamzam zitasambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) miongoni mwa Mahujaji katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476720   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Uhusiano wa nchi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza stratejia isiyobadilika ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ushirikiano wa pande zote, endelevu na wenye manufaa na majirani zake na kusema: ili kuondokana na changamoto zilizopo ambazo kuendelea kwake hakuna maslahi kwa nchi yoyote katika eneo hili, ni lazima ushirikiano na mshikamano vichuke nafasi ya mifarakano na uhasama.
Habari ID: 3476719   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17