iqna

IQNA

Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo  nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Rais Pezeshkian wa Iran katika mazugumzo na Bin Salman wa Saudia
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."
Habari ID: 3480489    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04

IQNA – Nchi kadhaa ulimwenguni kote zimethibitisha rasmi kuwa Jumapili, Machi 30, 2025, itakuwa siku ya kwanza ya Idul Fitr.
Habari ID: 3480469    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30

IQNA – Saudi Arabia imeanzisha kanuni mpya zinazozuia matumizi ya kamera katika misikiti hasa kupiga picha maimamu na waumini wakati wa Sala katika mwezi ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3480252    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22

Hija
IQNA - Jeddah nchini Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa toleo la nne la Mkutano na Maonyesho ya Hija mapema mwaka ujao wa Miladia.
Habari ID: 3479908    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16

Hija na Umrah
IQNA – Mamlaka ya Jumla ya Saudi Arabia kwa Utunzaji wa Masuala ya Msikiti Mkuu na Msikiti wa Mtume imetoa seti ya miongozo tisa kwa mahujaji wa kike, lengo likiwa ni kuhakikisha mazingira yenye mpangilio na heshima kwenye maeneo hayo matakatifu.
Habari ID: 3479869    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Nchini Saudi Arabia
Shirika la Awqaf na Misaada la Iran limewataja wahifadhi wawili kwa ajili ya kuiwakilisha nchi hiyo katika makala ya 44 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479026    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29

Hija 1435
IQNA-Waziri wa Ulinzi Kenya Aden Duale Jumatatu aliaga kundi la kwanza la Wakenya  300 waliokuwa wanaelekea nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija.
Habari ID: 3478931    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04

Hija 1435
IQNA - Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia Ali Reza Enayati amefanya mazungumzo na Abdulaziz bin Saud bin Naif, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Hajj.
Habari ID: 3478896    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itatuma washiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia katika vitendo vya qiraa na hifdhi.
Habari ID: 3478833    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16

Hija 1445
IQNA - Huku zaidi ya Waislamu  ilioni 2 wakitarajiwa kuwasili baadaye mwezi huu kwa ajili ya ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka, wakuu wa Saudi Arabia wameimarisha maandalizi ya ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3478777    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Umoja wa Waislamu
IQNA - Jumuiya ya Waislamu Duniani (WML) imeandaa mkutano unaolenga kukuza maelewano kati ya madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3478533    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Hija 1445
IQNA - Usajili umefunguliwa kwa raia wa Saudi au wakaazi nchini walio tayari kushiriki katika ibada ya Hija ya mwaka 1445 Hijria/ 2024.
Habari ID: 3478344    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Teknolojia
IQNA - Kongamano la teknolojia ya Qur'ani Tukufu limepangwa kufunguliwa katika mji mkuu wa Saudia wa Riyadh wikendi hii. Itahudhuriwa na kundi la wataalam, wasomi na weledi wa teknolojia.
Habari ID: 3478316    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Hija 1445
IQNA - Saudi Arabia imeanza kupokea maombi kutoka kwa mahujaji wa kigeni wanaotaka kuhiji 2024, hija ya kila mwaka ya Kiislamu kwenda Mecca.
Habari ID: 3478096    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA - Balozi wa Iran mjini Riyadh alikutana na Waziri wa Masuala ya Kiislamu wa Saudia Jumatatu na kujadili uhusiano kati ya nchi hizo mbili na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478060    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA)- Toleo la 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Saudi Arabia litaanza leo katika mji mtakatifu wa Makka huku wawakilishi kutoka nchi 117 wakishiriki.
Habari ID: 3477495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Umra 1445
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Umra au Hija ndogo wameonywa dhidi ya kutumia mawakala wasio na leseni.
Habari ID: 3477457    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Hija mwaka 1444
Maeneo matakatifu nchini Saudi Arabia yanatayarishwa kupokea Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija kutoka kila kona ya dunia.
Habari ID: 3477125    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09