IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo harakati za jamii ya kimataifa ili kusitisha mauaji makubwa ya kimbari ya karne hii.
Habari ID: 3480607 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Saudi Arabia imetangaza kuwa zaidi ya Waislamu milioni 18.5 walitekeleza ibada za Hija na Umrah mwaka uliopita.
Habari ID: 3480591 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Maonyesho ya Kaligrafia ya Qur'ani na Mashairi ya Kiarabu, yaliyoandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Iran mjini Jeddah, yamefunguliwa rasmi katika mji huo wa bandari wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3480576 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo.
Habari ID: 3480558 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Mipango inaendelea kuanzisha maeneo ya kupumzika kwa Mahujaji katika sehemu mbalimbali za Mina, Arafat na Muzdalifah karibu na Makka wakati wa Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3480557 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande mbili na unaweza kuzifanya pande mbili hizo zikamilishane.
Habari ID: 3480555 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao 1,100 wana umri wa zaidi ya miaka 80, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480553 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/17
IQNA – Saudi Arabia imewafukuza raia wa kigeni wasiopungua 8,000 kama sehemu ya kampeni ya usalama kwa lengo la kuhakikisha utaratibu kabla ya Hija ya mwaka huu, Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza.
Habari ID: 3480540 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14
Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
Rais Pezeshkian wa Iran katika mazugumzo na Bin Salman wa Saudia
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."
Habari ID: 3480489 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04
IQNA – Nchi kadhaa ulimwenguni kote zimethibitisha rasmi kuwa Jumapili, Machi 30, 2025, itakuwa siku ya kwanza ya Idul Fitr.
Habari ID: 3480469 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA – Saudi Arabia imeanzisha kanuni mpya zinazozuia matumizi ya kamera katika misikiti hasa kupiga picha maimamu na waumini wakati wa Sala katika mwezi ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3480252 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
Hija
IQNA - Jeddah nchini Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa toleo la nne la Mkutano na Maonyesho ya Hija mapema mwaka ujao wa Miladia.
Habari ID: 3479908 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Hija na Umrah
IQNA – Mamlaka ya Jumla ya Saudi Arabia kwa Utunzaji wa Masuala ya Msikiti Mkuu na Msikiti wa Mtume imetoa seti ya miongozo tisa kwa mahujaji wa kike, lengo likiwa ni kuhakikisha mazingira yenye mpangilio na heshima kwenye maeneo hayo matakatifu.
Habari ID: 3479869 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25
Nchini Saudi Arabia
Shirika la Awqaf na Misaada la Iran limewataja wahifadhi wawili kwa ajili ya kuiwakilisha nchi hiyo katika makala ya 44 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479026 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29
Hija 1435
IQNA-Waziri wa Ulinzi Kenya Aden Duale Jumatatu aliaga kundi la kwanza la Wakenya 300 waliokuwa wanaelekea nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija.
Habari ID: 3478931 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04
Hija 1435
IQNA - Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia Ali Reza Enayati amefanya mazungumzo na Abdulaziz bin Saud bin Naif, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Hajj.
Habari ID: 3478896 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itatuma washiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia katika vitendo vya qiraa na hifdhi.
Habari ID: 3478833 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16
Hija 1445
IQNA - Huku zaidi ya Waislamu ilioni 2 wakitarajiwa kuwasili baadaye mwezi huu kwa ajili ya ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka, wakuu wa Saudi Arabia wameimarisha maandalizi ya ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3478777 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05