TEHRAN (IQNA)- Mwanachama wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amedokeza kuwa, mkoa wa Ma'rib unakaribia kukombolewa kikamilifu kutoka mikononi mwa wavamizi wanaoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3474658 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/09
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Jeshi la Yemen amebainisha kuhusu "oparesheni ya Disemba Saba" na kueleza kuwa vikosi vya ulinzi vya Yemen vimetekeleza oparesheni ya kijeshi ya kipekee huko Riyadh, Jedddah, Taif, Jizan, Najran na Asir nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3474651 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/07
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Habari wa Lebanon George Kordahi amejiuzulu ili kupunguza mgogoro wa nchi yake na Saudi Arabia baada ya kauli yake ya kukosoa vita vya Saudia dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3474634 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imeripoti kesi ya kwanza ya aina mpya ya COVID-19 ijulikanayo kama Omicron ambayo imegundulika katika raia wa nchi hiyo aliyerejea kutoka eneo la kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3474627 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kutetea haki za binadamu limesema mamia ya watoto wa Yemen wanafariki dunia ndani ya kila saa 24 kutokana na utapiamlo, huku muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia ukiendelea kufanya mashambulizi na kuliwewekea mzingiro wa kila upande taifa hilo maskini la Kiarabu.
Habari ID: 3474584 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/21
TEHRAN (IQNA)- Kinara mmoja wa kundi la kigaidi la Al Qaeda amekiri kuwa kundi hilo linashirikiana kwa karibu na muungano vamizi wa Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3474550 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13
TEHRAN (IQNA)- Kumetolewa pendekezo la kujengwa barabara kutoka mji mtakatifu wa Mashhad nchini Iran hadi mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3474391 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06
TEHRAN (IQNA)- Mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Ufalme wa Saudi Arabia yanaendelea vizuri kwa lengo la kutatua matatizo yaliyopo baina ya pande mbili.
Habari ID: 3474386 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Waislamu watakaruhusiwa kutekelelza Hija ndogo au Umrah na kuswali katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) imeongezeka hadi laki moja kwa siku kuanzia Oktoba Mosi.
Habari ID: 3474369 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa katika miezi michache iliyopita kumefanyika mawasiliano ya mara kwa mara kati ya Iran na Saudi Arabia na kuongeza kuwa, mazungumzo mazuri yamefanyika juu ya maswala yanayozihusu pande mbili.
Habari ID: 3474336 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24
TEHRAN (IQNA)- Miaka 20 iliyopita katika siku kama ya leo ya tarehe 11 Septemba mwaka 2001, ndege mbili kati ya nne za abiria za Marekani zilizotekwa nyara ziligonga minara miwili pacha ya jengo la Biashara la Kimataifa la mjini New York huku ndege moja ikigonga jengo la Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) huko Washington.
Habari ID: 3474282 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11
TEHRAN (IQNA)- Jopo la kisheria lililojumuisha mawakili walioko London ambao wanawakilisha waathirika wa mgogoro wa miaka mingi wa Yemen wametaka uchunguzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuhusu uhalifu wa kivita uliotekelezwa na muungano unaoongozwa na Saudi Arabia katika nchi hiyo masikini zaidi katika Bara Arabu.
Habari ID: 3474244 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/31
TEHRAN (IQNA)- Ibada tukufu ya Hija ilianza rasmi jana chini ya usimamizi na sheria kali za kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona huku idadi ya Mahujaji ikiwa chache mno kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Saudia.
Habari ID: 3474111 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen likishirikiana na Kamati za Kujitolea za Wananchi limeweza kutekeleza kwa mafanikio oparesheni ya Al-Nasr Al-Mubin katika mkoa wa Al-Baidha (Al Bayda).
Habari ID: 3474104 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16
TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadamu wameonya kuwa, utawala wa Aal-Saud unapanga kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu wa madhehebu ya Shia mkoani Qatif mashariki mwa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474025 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, ibada ya Hija mwaka huu itafanyika kwa kushirikisha raia na wageni wanaoishi nchini humo wasiozidi elfu 60.
Habari ID: 3474001 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13
TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Hilali Nyekundi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yamkini Iran ikatuma mahujaji wasiozidi 2,000 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3473970 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Masuala ya Kiislamu katika Ufalme wa Saudi Arabia ametetea amri yenye utata aliyoitoa ya kupunguza sauti katika adhana misikitini.
Habari ID: 3473969 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia inatafakari kuwazuia Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo kwa mwaka wa pili mfululizo kufuatia ongezeko la aina mpya ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473881 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen limetangaza kuwa vikosi vyake vya angani na makombora vimetekeleza oparesheni ya pamoja kwa kutumia makombora saba na ndege zisizo na rubani au drone na kulenga kituo cha kusafisha mafuta cha Aramco mkoani Jizan nchini Saudia.
Habari ID: 3473817 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15