iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Hujuma ya majeshi ya kigaidi ya Marekani kwa ushirikiano na waitifaki wao Iraq dhidi ya vituo vya Brigedi za Kata'ib Hizbullah imelaaniwa vikali kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3472900    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26

TEHRAN (IQNA) – Ayatullah Muhsin Araki, mwanachama wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu Iran, amewatumia ujumbe wa video vijana wanaoandamana kote duniani hakitaka haki na uadilifu duniani.
Habari ID: 3472879    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeunga mkono kikao maalumu cha Baraza la Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa ambacho kimeitishwa kujadili ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Habari ID: 3472875    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya Waislamu nchini Marekani yamejiunga na wimbi la malalamiko ya kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ifanye mageuzi haraka iwezekanavyo kwa ajili ya kuondoa ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika muundo wa polisi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3472871    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/16

Katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA) - Waandamanaji wenye hasira nchini Marekani wanaendeleza mkakati wa kuanugusha, kuharibu ama kuondoa masanambu ya wabaguzi wa rangi hasa Christopher Columbus.
Habari ID: 3472858    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ‘kubinya shingo kwa kutumia goti’ ni sera ya daima ya Marekani na kuongeza kuwa: “Katika kipindi chote cha historia, Marekani imekuwa ikitumia sera hiyo kukandamiza madhulumu.
Habari ID: 3472854    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq ameitaka Marekani iviondoe mara moja vikosi vyake vyote katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472848    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa kote katika jimbo la New Jersey nchini Marekani imesema hotuba za Sala ya Ijumaa zitajadili kuhusu madhara ya ubaguzi wa rangi na halikadhalika kuhusu ukatili na jinao zinazotendwa na polisi nchini humo.
Habari ID: 3472837    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutumia kitabu cha Biblia kwa ajili ya kuhalalisha jinai na ukatili wa serikali yake na kuwahadaa Wa marekani .
Habari ID: 3472836    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema yanayojiri siku hizi Marekani yameweka wazi ukweli uliokuwa umefichwa nchini humo kuongeza kuwa: "Wa marekani wamefedheheka duniani kutokana na mienendo yao."
Habari ID: 3472830    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, watawala wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.
Habari ID: 3472829    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) - Marekani imetumbukia tena katika machafuko makubwa kutokana na malalamiko ya wananchi wanaopinga mauaji yaliyofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya raia mweusi.
Habari ID: 3472822    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/01

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hatua mpya zilizochukuliwa na Marekani za kuuwekea vikwazo ushirikiano wa kimataifa wa nyuklia baina ya Iran na pande nyingine na kusema kuwa kitendo hicho kinavunja waziwazi azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3472821    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kuwasha moto wa vita katika nchi kadhaa ikiwemo Afghanistan, Iraq na Syria ni miongoni mwa sababu za kuchukiwa Marekani na akabainisha kwamba, Wa marekani wanaeleza kinagaubaga kuwa 'tumeweka vikosi Syria kwa sababu kuna mafuta'; lakini bila shaka hawataweza kubaki, si Iraq wala Syria. Ni lazima waondoke huko na hakuna shaka kuwa wataondoshwa tu.
Habari ID: 3472777    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/18

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika barua kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) -Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua ya pili Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kujiondoa kinyume cha sheria Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, vikwazo vya upande mmoja ilivyoiwekea Iran na ukiukaji mkubwa na wa mara kwa mara inaofanya wa Hati ya Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3472754    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/10

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Kiislamu ya Dar Al-Hijrah ya Virginia nchini Marekani inagawa chakula kwa wanaohitajia katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472747    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Japan
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hakuna njia nyingine ya kukabiliana kwa mafanikio na corona isipokuwa kushirikiana nchi zote"
Habari ID: 3472737    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05

TEHRAN (IQNA) – Asasi za Kiislamu mjini New York nchini Marekani zimeungana na kuanzisha mpango wa kugawa futari kwa wasiojiweza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472726    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiisamu ya Iran vilitoa taarifa na kuonya kwamba: Kuundwa miungano ya urongo kwa uongozi wa Marekani kwa kizingizio eti cha kusimamia usalama wa meli ni hatua ya hatari na wakati huo huo inavuruga amani na usalama wa eneo.
Habari ID: 3472712    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na rais wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA)- Marais wa Iran na Afrika Kusini wamesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja za biashara na uchumi na pia wakasema kuna udharura wa kubadlishana uzoefu katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona sambamba kuboresha ushirikiano wa kiafya na kisayansi.
Habari ID: 3472711    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28