Wafanyaziara takribani milioni 27 wakiwemo wageni milioni tano wameshiriki katika maombolezo ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW, Imam Hussein AS, katika mji wa Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3459722 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04
Takribani miaka 1376 iliyopita, ilifanyika majlisi ya kwanza ya siku ya Arubaini tangu kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW Imam Hussein bin Ali AS akiwa na watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume ambao waliuawa shahidi tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3459320 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/02
Karibu watu milioni moja wameshiriki katika msafara wa kutembea kwa miguu kutoka mji wa Kaduna hadi Zaria kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
Habari ID: 3459300 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/01
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema harakati iliyojaa mahaba na imani ya watu wa nchi mbali mbali za dunia katika siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni moja kati ya ishara za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3458796 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/30
Kundi la kigaidi Boko Haram limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia waliokuwa katika msafara wa maombolezo ya Imam Hussein AS jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
Habari ID: 3458202 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29
Waislamu 21 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria baada ya gaidi moja kujiripua kwenye msafara wa Waislamu hao Ijumaa hii.
Habari ID: 3457492 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/27
Warsha ya kuhusu kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS imefanyika Bauchi nchini Nigeria.
Habari ID: 3454535 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19
Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbalimbali za dunia wameshiriki maombolezo ya Ashura kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume mtukufu, Muhammad SAW, yaani Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib AS. Nchini Iran misafara na maandamano ya mamia ya maelfu ya watu inaendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali katika kukumbuka siku ya Ashura.
Habari ID: 3393538 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25
Kiongozi wa Ansarullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema watawala madhalimu wanapanga njama za kudhoofisha umma wa Kiislamu kwa kuuweka mbali na thamani za misingi ya haki.
Habari ID: 3393529 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25
Ashura ni tukio ambalo imepita miaka takribani 1375 tokea kujiri kwake lakini si tu kuwa tukio hili la kihistoria linawavutia Waislamu bali pia wapenda uhuru kote duniani wamevutiwa na yaliyojiri katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3392955 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23
Wananchi wengi wa Kaduna nchini Nigeria wanaendelea kujitokeza kwa wingi katika maombolezo ya mashahidi wa Karbala.
Habari ID: 3392936 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23
Idara ya waqfu iliyo chini ya Wizara ya Waqfu nchini Misri, imeamuru kufungwa msikiti wa Imamul-Hussein (as) mjini Cairo kuanzia jana Alkhamis hadi baada ya kesho Jumamosi ikiwa ni katika kuwazuia Waislamu wa Kishia kutekeleza marasimu za Taasua na Ashura.
Habari ID: 3392920 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23
Tuko katika mwezi wa Muharram ambao unahuisha na kurejesha akilini kumbukumbu ya mapambano adhimu na yenye adhama. Muharram ni mwezi uliofungamana na jina la Hussein Ibn Ali (AS) na harakati isiyo na mbadala ya mtukufu huyo katika ardhi ya Karbala.
Habari ID: 3391638 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/22
Waislamu watano wa madhehebu ya Shia wameuawa nchini Saudi Arabia kufuatia hujuma ya kundi la kigaidi la Daesh au ISIS katika majlisi ya maombolezo ya siku 10 za Muharram.
Habari ID: 3386096 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/17
Walimwengu wanaendelea kulaani hujuma ya kundi la kigaidi na Kitakfiri la ISIS au Daesh dhidi ya msikiti wa Msikiti wa Imam Hussein AS katika mji wa Dammam mashariki mwa Saudi Arabia.
Habari ID: 3309278 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30
Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria jana waliungana na Waislamu wengine duniani na kushiriki kwa wingi katika maombelezo ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S) kwa kukusanyika katika mji wa Zaria.
Habari ID: 2618158 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/14
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Takribani miaka 1375 iliyopita, ilifanyika majlisi ya kwanza ya siku ya Arubaini tangu kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) Imam Hussein bin Ali (AS) akiwa na watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume ambao waliuawa shahidi tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 2617894 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/13
Waziri wa Ulinzi wa Iraq amesema kuwa, wafanyaziara milioni 17.5 wamekusanyika katika mji mtukufu wa Karbala kwa ajili ya kushiriki maombolezo ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S).
Habari ID: 2617814 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/12
Kwa wale watu wanaofahamu vyema historia ya Uislamu, mwezi wa Muharram hukumbusha mapambano makubwa ambayo yalifanywa na Imam Hussein (as) kwa ajili ya kurekebisha na kuhuisha dini ya babu yake Mtume Muhammad (saw) ambayo ilikuwa imepotoshwa kwa kiwango kikubwa na maadui wa Uislamu pamoja na watu waliokuwa na tamaa ya kuitawala dini kifalme.
Habari ID: 1466308 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/01
Waislamu wa Kishia nchini Misri wamemwalika Sheikh Mkuu wa al-Azhar kuhudhuria shughuli ya maombolezo ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein mjukuu wa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 1465815 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/31