iqna

IQNA

IQNA - Waislamu wa madhehebu ya Shia walifanya maombolezo ya Muharram huko mjini Leicester, Uingereza, siku ya Jumapili mchana kwa ajili ya kukumbuka maisha na kuuawa shahidi Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479138    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/16

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Mufti Mkuu wa Misri Shawki Allam ameipunguza kuwa kifungo cha maisha jela hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa na mahakama kwa Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
Habari ID: 1445550    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/01